mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 20,456 Reaction score 36,471 Nov 8, 2012 #41 Bujibuji said: Matokeo ya kuchagua SPIKA asiye na sifa. Kwenye katiba mpya, tutataka spika asiye mbunge, na achaguliwe na wananchi Click to expand... mkuu Bujibuji na asichaguliwe sababu ni mwanamke nakataa na kupinga kabisa kumpa mtu cheo ati kwa kuwa ni manamama......mtu apewe kazi anayoiweza, jinsia iangaliwe tu pale anapokua amekidhi viwango na si kubebana
Bujibuji said: Matokeo ya kuchagua SPIKA asiye na sifa. Kwenye katiba mpya, tutataka spika asiye mbunge, na achaguliwe na wananchi Click to expand... mkuu Bujibuji na asichaguliwe sababu ni mwanamke nakataa na kupinga kabisa kumpa mtu cheo ati kwa kuwa ni manamama......mtu apewe kazi anayoiweza, jinsia iangaliwe tu pale anapokua amekidhi viwango na si kubebana
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 30,108 Reaction score 41,775 Nov 8, 2012 #42 Bujibuji said: Wigi niwigue kiti changu cha uspika nisikiachilie Click to expand... ......ha ha ha
Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,621 Reaction score 4,311 Nov 8, 2012 #43 Wigi ni vazi la bunge???