chama cha mafisadi hawawezi kuwa na point ya kuongea zaidi ya kudanganya wananchi na kugusia maisha ya watu ili wakati mnabishana wao wanaendelea kutafuna nchi, lakini sisi mtetezi wetu yu hai, na ataendelea kuwaumbua kama alivyowaumbua jangwani siku ya uzinduzi! ...tulitegemea wakati huu wawe wanaelezea walichofanya kwa miaka mitano iliyopita. Lakini hawana cha kuelezea, zaidi ya neno zaidi.. Zaidi ..zaidi fix tupu