Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,189
He he[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
He he[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahahhah kilichokuchekesha nikikumbuka nilikula ice cream zile za ukwaju na ninavyopenda ukwaju sasa mbona kila siku nilikua nawahi ili nipewe dell niuzeNimechekaa sanaaa
Kilichonichekesha eti halikuwa haesabuAhahhah kilichokuchekesha nikikumbuka nilikula ice cream zile za ukwaju na ninavyopenda ukwaju sasa mbona kila siku nilikua nawahi ili nipewe dell niuze
Inawezekana aliamka anaumwa kichwa sana akamwambia mama akee akamuitie ostadh amsomee duwa ostadh kufika Amina masikini ameshakata rohoWanga wa m/nyamala washafanya yao.
Kweli alikua haesabu jaman alikuwa anatuamini wanafunzi wakeKilichonichekesha eti halikuwa haesabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulimfaidiiiiiKweli alikua haesabu jaman alikuwa anatuamini wanafunzi wake
Mitaa ipi unakaaHuko sipajui mkuu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulimfaidiiiii
Na ulikokuwa kadogodogoo alikuwa anakuaminiaa hatariiiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sanaa
Ananimininia nini tenaNa ulikokuwa kadogodogoo alikuwa anakuaminiaa hatariiiii
Ushapanda pande zako juu niniii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ananimininia nini tena
Hapana nipo home mambo yangu nilipiga jana home tuUshapanda pande zako juu niniii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Najua lazima siku hizi ni kihome homeeee...Hapana nipo home mambo yangu nilipiga jana home tu
[emoji41][emoji41][emoji41] kweli nilisoma vibaya jaman siunajua uzee nilionaoNajua lazima siku hizi ni kihome homeeee...
Ila umesoma vibaya nilisema anakuaminia
Sio kwamba unamsumbua kale kadadaaa make unabopendaga kukaa mbali na kukaitaa kaziii hipoooo[emoji41][emoji41][emoji41] kweli nilisoma vibaya jaman siunajua uzee nilionao
100% nakubali......miaka ya tisini mpaka 2002 kuanzia m/nyamala A kwenda mpaka kwa M/zakaria ilikuwa hatari sana....kuna zile nyumba za kota (M/nyamala A) jamaa walikuwa wanakaa kwenye vile vichochoro. Na ndipo roba za mbao zilipoanzia.Ungepita kipindi hiko baba.
Sasa hivi wakabaji wote wameshakufa na wezi wengi wanaendesha boda boda
Kuitwa lazima aitwe ndio kazi yakeSio kwamba unamsumbua kale kadadaaa make unabopendaga kukaa mbali na kukaitaa kaziii hipoooo
Vichochoro vyote siku hizi hamna watu wamevunja nyumba zao na kujengwa upya ilikua ukipita kichochoro hiki unatokea mtaa wa pili siku hizi ukianza kuingia mtaani moja kwa moja mpachi chini utokee mtaa wa pili100% nakubali......miaka ya tisini mpaka 2002 kuanzia m/nyamala A kwenda mpaka kwa M/zakaria ilikuwa hatari sana....kuna zile nyumba za kota (M/nyamala A) jamaa walikuwa wanakaa kwenye vile vichochoro. Na ndipo roba za mbao zilipoanzia.
Ipo tokea 2004Nimeshangaa sana kuona Benki maeneo ya Masai Club nikasema kweli sasa dunia imestaarabika