Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Shoga albino alikuwepo mwanyamala very smart pale kamanyola bar...ibrahm kipofu anatembea mwendo mrefu pembezoni mwa road bila ya kuguswa na gari wala baiskel kufata madada poa kwa wahaya..kuna kinunga nae albino huyu alikuwa anacheza mpira balaa
Aisee kweli hivi bado yupo? Siku moja wateja wa gesti wanasubiri huduma yeye yuko ndani anashughulikiwa
 
Machizi wa mwanyamala ninao wakumbuka ni Chege, kasheshe, mlokozi, saa mbili kamili(huyu ukitaja mda wa saa tu utakaoishia na kamili mbele yake unae) mkiwa ( wahuni wamemzalisha zaid ya mara mbili)
Huyu mkiwa dah huruma sana washkaj walikuwa wanajipigia sana kule magengeni mapinduzi
 
Kuna mpiga picha maarufu alikuwa anaitwa Japhari..
Alikuwa kibonge hivi..
Alikuwa anatembea na baiskeli yake...
Ukitaka upigwe picha unafanya booking mwezi kabla..
Maana alikuwa na tight schedule balaa
Sijui alipotelea wapi...
Mpinzani wake alikuwa jamala huyu nae alitangulia mbele za haki tayari
 
Morocco ni jina la mtu hilo huyu alikuwa kibaka maarufu na kwao ilikuwa pale karibu na kona ya kwenda kwa matunge
Ni sawa kabla hajahamia kule Pembe walikuwa na nyumba yao mtaa wa kwanza ukitoka Tiger inaangaliana na nyumba moja walikuwa wanaishi wacomoro.. Hapo ndio ilikuwa makao makuu ya Vida pala Vida
 
Aisee kweli hivi bado yupo? Siku moja wateja wa gesti wanasubiri huduma yeye yuko ndani anashughulikiwa
Dah sina uhakika mkuu huyu alibino me nilikuwa simjui km shoga mkuu kuna siku alinikuta nimesimama maeneo yangu nimetoka gym si unajua kipindi kile lazima uwe mbavu ili uendane na mazingira akanishika dushee akaniambia tall mambo" nilichomfanya aisee awez kunisahau maisha yake yote alikwenda kuzindukia kwa dr mvungi pale maana ilikuwa maeneo ya vijana ndio kuna gym ya kishua..wazee wake walikuwa wanalala kwa mzee wangu week nzima mpaka kijana wao alipopata nafuu me nilivuka maji kabisa
 
Kuna jamaa mmoja sasa hivi mkubwa tu ktk awamu hii ya 5 alikuwa anadate mdada wa mitaa ya kwetu sijui mwenyewe alikuwa anaishi wapi kipndi icho kuna siku wamechil uwanjani na yule mdada pale uwanja wa sparta usk km saa tatu wanashikana shikana tukawafata "tukamuliza nani amekupa ruksa ya kukaa eneo ili mda huu? Na unafanya nini hapa Jamaa akawa mnyonge ruka kichurachura akaruka pale akaomba tumuache maana ana mke na watoto akalipa elfu 80 na simu akatoa line simens dole gumba ila alivyoondoka akugeuka nyuma..now yupo kwa JPM huko ila mwanyamala anaijua vizur
Mkuu nani huyu nipe code zake nimnyake.
 
Dah sina uhakika mkuu huyu alibino me nilikuwa simjui km shoga mkuu kuna siku alinikuta nimesimama maeneo yangu nimetoka gym si unajua kipindi kile lazima uwe mbavu ili uendane na mazingira akanishika dushee akaniambia tall mambo" nilichomfanya aisee awez kunisahau maisha yake yote alikwenda kuzindukia kwa dr mvungi pale maana ilikuwa maeneo ya vijana ndio kuna gym ya kishua..wazee wake walikuwa wanalala kwa mzee wangu week nzima mpaka kijana wao alipopata nafuu me nilivuka maji kabisa
Hivi huyu ni yule Kijana albino mdogo mdogo alikuwa anapenda kuvaa suruali za rangi ya khaki au..!?
 
Matukio na kumbukumbu za mambo ya mwananyamala enzi hizo vinanichekesha na kunifanya nikumbuke mbali sana enzi naishi A stendi ya daladala ilipokuwa Iringa photo studio!Mengi yanayoelezewa ktk kuchangia uzi huu ni ya kweli asilimia zote mia!!!Kwa wanaokumbuka stendi ya daladala A kulikuwa na mpika chips maarufu jina nishamsahau alikuwa jirani na sehemu ya kuchezea kamari almaarufu Kwa jina la copacabana!Nishachezaga kamari humo nikaliwa pesa zangu hadi ada ya shule enzi nasoma pugu sec.Tangu that day sikuthubutu tena kucheza kamari.Ila all in all Mwananyamala ni eneo lenye changamoto nyingi na vioja lukuki.
Mpika chips hiyo sio mzee sewando
 
mshana juzi tulivyokuwa kibaha tulimuongelea huyu hatukujua km kashavuta kumbe
gari yake anaipiga service mwenyewe kaipaki kibaraxani kwake anaipiga jeki na ovaroli anazamchini
ana mikogo balaa

shunie kumbe mtoto wa mwananyama enzi ya NDEKA nakupa list lazima hawa maticha lazima uwafahamu
NDAGO la kwanza darasa lake lipo juu mlango unaangalia unaangalia geti la shure chumba cha kwanza njia ya kwenda assemble upande wa msikitini Huyu ticha kawafundisha wadangaji na wezi wote wa mwananyamala

MWAMBOLA akiwa zamu ukinunua askrimu anakuachia upite ila anagonga fimbo balaa

MANYANGA kazi yake kutongoza wanafunzi

MWANACHIA anapiga balaa

MBOGOLO mguu mbovu huyu ticha hakuna muhuni wa mwananyamala asomjua


getini enzi tunasoma alikuwa mlizi wa kimasai LAZARO mwalimu mkuu mwakatobe

enzi niliosoma MWANANYAMALA B choo kilibomoka tukawa tunarudi saa nne mpk kilipojengwa choo kingine bila kumsahauTicha MALIPURA wa la SABA kujinadi anao mtihani na majibu ya mtihani wa la saba taifa


vipi la saba la Ticha MADANDI ulikuwepo mkali wa MATH kipindi hicho tunapiga tuiton kwa Ticha maiko Ujiji Tumegawanywa kwa DALASA la A ndo wenye AKILI ukiwa F au E we kilaza wa kutupwa


itakuwa umekula sana miogo ya MZEE MSIBA na ndizi za MAMA ABDALAH canteen pale ha ha ha
Aseeee walimu wote nawajua mwalimu ndago msambaa mwenzangu jaman mwalimu mpogolo some body kimwana na mwalimu mwanachia sasa mbona umemsahau mwalimu wetu wa darasa kutoka darasa la mwalimu ndago linalofatia jina limenitoka darasa la pili alikua anatuuzisha ice cream za ukwaju ukiwahi anakupa dell uhangaike nalo mkononi daaah umenikumbusha mmasai lazaro yaan tulklua tunamsumbua alikua mnoko vipiiii unawakumbuka dotto na kulwa wale mapacha walikuwa darasa la juu walitupita kama madarasa matatu walikua wana fujo na wakorofi shule nzima wakifanya fujo nyuma kule uwanja wa mpira shule inafungwa
 
mshana juzi tulivyokuwa kibaha tulimuongelea huyu hatukujua km kashavuta kumbe
gari yake anaipiga service mwenyewe kaipaki kibaraxani kwake anaipiga jeki na ovaroli anazamchini
ana mikogo balaa

shunie kumbe mtoto wa mwananyama enzi ya NDEKA nakupa list lazima hawa maticha lazima uwafahamu
NDAGO la kwanza darasa lake lipo juu mlango unaangalia unaangalia geti la shure chumba cha kwanza njia ya kwenda assemble upande wa msikitini Huyu ticha kawafundisha wadangaji na wezi wote wa mwananyamala

MWAMBOLA akiwa zamu ukinunua askrimu anakuachia upite ila anagonga fimbo balaa

MANYANGA kazi yake kutongoza wanafunzi

MWANACHIA anapiga balaa

MBOGOLO mguu mbovu huyu ticha hakuna muhuni wa mwananyamala asomjua


getini enzi tunasoma alikuwa mlizi wa kimasai LAZARO mwalimu mkuu mwakatobe

enzi niliosoma MWANANYAMALA B choo kilibomoka tukawa tunarudi saa nne mpk kilipojengwa choo kingine bila kumsahauTicha MALIPURA wa la SABA kujinadi anao mtihani na majibu ya mtihani wa la saba taifa


vipi la saba la Ticha MADANDI ulikuwepo mkali wa MATH kipindi hicho tunapiga tuiton kwa Ticha maiko Ujiji Tumegawanywa kwa DALASA la A ndo wenye AKILI ukiwa F au E we kilaza wa kutupwa


itakuwa umekula sana miogo ya MZEE MSIBA na ndizi za MAMA ABDALAH canteen pale ha ha ha
Madandi akaj kuwa mwalimu mkuu,alikuwa anapiga stick za uhakika ukimkera,mzee msiba tulimuibia sana mihogo mibichi na kina csto,
 
Shoga albino alikuwepo mwanyamala very smart pale kamanyola bar...ibrahm kipofu anatembea mwendo mrefu pembezoni mwa road bila ya kuguswa na gari wala baiskel kufata madada poa kwa wahaya..kuna kinunga nae albino huyu alikuwa anacheza mpira balaa
Huyo shoga mpaka huku minazini njia ya kwenda sokoni karibu na kwa kina sharifa hivii nyumba ya kwanza kushoto alikua anakaaa hapo kulikua kuna mashoga wengi tukipita toka shule tunawashangaa wanavyokaa kibarazani vipiii unamkumbuka jack amabae sasa hivi ni shoga maarufu
 
Back
Top Bottom