Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
kina jack mazinde wote wamekufa nakumbuka kibao chao cha dada ASHAJagwa watoto wa Mwananyamala
kina jack mazinde wote wamekufa nakumbuka kibao chao cha dada ASHAJagwa watoto wa Mwananyamala
Ndio mkuuMkiwa yule chizi kwao ujiji ?
Aliweka kioo chake ktk mwembe ilikuwa lazima nijiangalie ktk kile kioo nikiwa natokea juu DSSD nashuka chiniKinyozi maarufu DILUNGA
alikuwa ananyoa pale chini ya mwembe karibu na geti la mochwari ya mwananyamala...
Kabla teknolojia haijachukua kasi yake..
Weekend mnapangwa foleni...
Jack alifariki kumbe daahkina jack mazinde wote wamekufa nakumbuka kibao chao cha dada ASHA
Aliweka kioo chake ktk mwembe ilikuwa lazima nijiangalie ktk kile kioo nikiwa natokea juu DSSD nashuka chini
Kuna vibaka wengine mashuhuri hao ni kinondoni walikua mapacha duuh hao walikua hawachezi mbali na kwa manyanya.. walipewa jina la "vipacha" kwa ajili ukibaka.Vibaka mashuhuri kama akina ng'ombe bado wapo?
Namkumbuka muuza magazeti na yule mwingine mpiga picha anayetembea nyumba kwa nyumba...huyu dula mbabe bondia unamkumbuka kipindi anauza mkaa tunamuita kiroba?Kulikuwa na Muuza magazeti maarufu alikuwa anaitwa Salehe..
Alikuwa anauza magazeti nyumba kwa nyumba...
Daah ni siku nyingi sana...
Sijui naye alikuja kupotelea wapi..
Saiz amebaki yule Kibonge wa geti la Hospitali...
Andika script uwape azamSijawahi kufuatilia uzi kama huu. Phenomenal!
Kuna enough material kutengeneza movie: Mwananyamala!
Mateja
Vibaka
Wacheza draft
Wapiga deo
Waganga
Wanamichezo, Bongo movie etc
NdiyoNamkumbuka muuza magazeti na yule mwingine mpiga picha anayetembea nyumba kwa nyumba...huyu dula mbabe bondia unamkumbuka kipindi anauza mkaa tunamuita kiroba?
Nimeelewa kwa nini The bold alitumia Scene ya kufungua ofisi fake mahali pale kwenye ile 'movie' ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba...!Ofisi na kampuni za mifukoni: Eneo lote la Kinondoni Mkwajuni mpaka Biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo. Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, Wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu, wanasheria, wabunge hata mawaziri nk
nakumbuka halaf unamkumbuka yule mchina aliyekuwa anakuja kufundisha dini na kiswahili chakeKuna mwaka alikuja siti binti kasiri yule mkenya aliyekuwa anaigiza ktk igizo la TAUSI unakumbuka wanafunzi wa B tulikwenda ktk ile nyumba mpaka ukuta wa ile nyumba ukadondoka..maeneo mwanymala kule kuna sehem inaitwa magodoro
namkumbuka sana then kuna Tajir mmoja sijui alitokea mkoa gani kipindi kile alikuja kuanzisha secondary mwananyamla B..inaitwa sijui Avot centre uniform sketi nyekundu shule yake ilikuwa hapa uwanjani B karibu na geti la uwanjani kuna kichochoro unatokea sokoni mapinduzi madirisha ya madarasa yana tizamana na gesti dah ile shule ata miezi 3 aikufika naisi ilikufanakumbuka halaf unamkumbuka yule mchina aliyekuwa anakuja kufundisha dini na kiswahili chake
Mkuu, kuna wenye kazi yaoAndika script uwape azam