johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,125
Meya wa Manispaa mh Songoro sambamba na Hii elnino ameendesha Operesheni kubwa ya kubomoa madunguro kule Mwananyamala
Madanguro 150 yamevunjwa na Malaya 24 walikamatwa na kuachiwa Muda kitambo baadae
Meya Songoro amesema Operesheni hiyo ni endelevu hadi Makahaba wote watakapotokomezwa Manispaa ya Kinondoni
Hata hivyo baadhi ya Wakazi wa maeneo hayo hasa Wakaanga chips wamesema Wadangaji ndio Wateja wao wakubwa na wamemtaka Songoro asitishe Operesheni yake waliyoiita Uchwara
ITV
Jumaa Mubarak 😀
Pia soma > Madanguro Dar, Serikali za mitaa mnalipwa?
Madanguro 150 yamevunjwa na Malaya 24 walikamatwa na kuachiwa Muda kitambo baadae
Meya Songoro amesema Operesheni hiyo ni endelevu hadi Makahaba wote watakapotokomezwa Manispaa ya Kinondoni
Hata hivyo baadhi ya Wakazi wa maeneo hayo hasa Wakaanga chips wamesema Wadangaji ndio Wateja wao wakubwa na wamemtaka Songoro asitishe Operesheni yake waliyoiita Uchwara
ITV
Jumaa Mubarak 😀
Pia soma > Madanguro Dar, Serikali za mitaa mnalipwa?