Vituko vya mochwari

Napata tabu kuwaelewa wale wanaosoma stori tu na kutishika au wanaoshindwa hata kuangalia movie za kutisha, hadi wengine wanaogopa kupita maeneo ya makaburini usiku binafsi woga huo sina hadi usiku mi popote natimba ila hofu yangu nisikutane na mtu mwenye silaha kama vile bastola, bunduki au visu.
 
Ha ha ha... Oysterbay hakuna maeneo ya namna hiyo man.its cool down here.

Kwa Mchana haitishi ila usiku inatisha hasa zile picha za maiti.. hata angekuwa Kiduku Lilo angeogopa kwa eneo naloiishi ni nje ya mji huku bado wanazikia nyumbani ,sasa kwa ile jana angeogopa tu.
 
Huu ndio ubaharia wenyewe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…