Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,403
BiriyaniUnamaanisha kuangalia mpira?
BiriyaniUnamaanisha kuangalia mpira?
huo si uchawi?Da umenikumbusha jana nimepanda coaster kwenda ,karakoo Kapanda mama ...mmoja ndio agent wa mchungaji anajiita ,Mtabiri nyuki ...anadai wanasabuni ukiogea hizo madeni yote kwisha ,nyumba ya kupanga ww ndio utakuwa na sauti kuliko baba mwenye nyumba anaalika watu waende kuombewa
Makonde ni kanisa la eliya mwenyewe ila huyu wa tegeta alijitenga na mke wa elia baada ya mke wa elia kukataa kumuachia madarakaNakumbuka baada ya kufa kwa Elia...kanisa lake lilipata mgawanyiko...kuna aliyetaka kumuachia kanisa halafu familia ikakataa...naomba nijulishe jina lake lililopo nida huyu na yule aliyebaki pale Makonde
100%Nimekupata hawa ndio zaman walikuwa wanaitwa SILOAM kwa nabii Eliya.
Hapo awali ndo alikuwa anaitwa siloam ila baada ya kujitenga na kanisa la pale makonde ndio akaanzisha lake linaitwa mungu babaHuyo ndio siloam miungu 1000?
Huyu ni yule ambaye familia ilikataa kumuachia kanisa sasa ndo akajitenga na kuanzisha la kwakeNakumbuka baada ya kufa kwa Elia...kanisa lake lilipata mgawanyiko...kuna aliyetaka kumuachia kanisa halafu familia ikakataa...naomba nijulishe jina lake lililopo nida huyu na yule aliyebaki pale Makonde
Aisee Dunia haiishi vitukoHebu watu wa Dar mtuambie huyo baba yenu halisi anaitwa nani na kanisa lake lipo wapi.
Kwa ninavyojua mimi BABA HALISI ni MUNGU BABA MUUMBAJI WA DUNIA NA VYOTE VILIVYOMO.
Wengine tukijiita baba halisi tutakuwa tunakufuru.
Wallah nimecheka sana na matusi juu 😂😂😂
Mke wa Eliya kaolewa mkuu??Makonde ni kanisa la eliya mwenyewe ila huyu wa tegeta alijitenga na mke wa elia baada ya mke wa elia kukataa kumuachia madaraka
Wala cfahamuMke wa Eliya kaolewa mkuu??