sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,206
- 8,041
Duh kweli ujinga ni mzigo.Yupo Yule anaewajambia ushuzi Africa Kusini ,unalala analeta makalio usoni kwako anaachia ushuzi. Eti unaponyesha magonjwa.
Duh kweli ujinga ni mzigo.Yupo Yule anaewajambia ushuzi Africa Kusini ,unalala analeta makalio usoni kwako anaachia ushuzi. Eti unaponyesha magonjwa.
Umenichekesha mkuuHuyu mchungaji mkorofi kweli wakati mwingine Huwa ana tuwekeaga flash yeye anaenda zake kuangalia mechi.
Wanasema nabii Eliya wao alipaa kwenda mbinguni sometimes hizi imani zinawafanya watu kuwa matahira aiseeHa ha ha walisema usiseme nabii wetu Eliya kafa, huyu kapumzika tu mungu huwa hafi. Wanakufuru mbaya sana kumfananisha nabii wao na Mungu
Unamaanisha kuangalia mpira?Huyu mchungaji mkorofi kweli wakati mwingine Huwa ana tuwekeaga flash yeye anaenda zake kuangalia mechi.
Si ushaambiwa baba halisiHebu watu wa Dar mtuambie huyo baba yenu halisi anaitwa nani na kanisa lake lipo wapi.
Kwa ninavyojua mimi BABA HALISI ni MUNGU BABA MUUMBAJI WA DUNIA NA VYOTE VILIVYOMO.
Wengine tukijiita baba halisi tutakuwa tunakufuru.
Huu sasa ni ungese sasaYupo Yule anaewajambia ushuzi Africa Kusini ,unalala analeta makalio usoni kwako anaachia ushuzi. Eti unaponyesha magonjwa.
Yapo makanisa yanayotumia nguvu za giza kuwafunga waumini akili.Wanasema nabii Eliya wao alipaa kwenda mbinguni sometimes hizi imani zinawafanya watu kuwa matahira aisee
Acha tunchi ngumu sana hii
Nakubaliana na wewe mkuuYapo makanisa yanayotumia nguvu za giza kuwafunga waumini akili.
Ogopa sana kupewa mafuta ya upako, maji na vitambaa makanisani. Ni hatari sana.
Sio kweli huwa munawabalisha waumini wenu kufanyia na waislam ili kuwahadaa waislamCha ajabu ni kwamba kwa mwamposa waislam wamejaa kibaokuliko hata wakristu
Uwahadae wailamu kwa dhumuni can't??Sio kweli huwa munawabalisha waumini wenu kufanyia na waislam ili kuwahadaa waislam
tunahaja GANI ya kuwafanyia hivyo hatuja sema wewe ila wapo waislam kibao KWA mwamposaSio kweli huwa munawabalisha waumini wenu kufanyia na waislam ili kuwahadaa waislam
Nawafahamu kadhaa wanaohudhuria hukoSio kweli huwa munawabalisha waumini wenu kufanyia na waislam ili kuwahadaa waislam
Huyo ndio siloam miungu 1000?Huyo kanisa lake lipo tegeta masaiti na wiki iliyopita ilikuwa ni zamu ya bodaboda kwa ajili ya kufuta ajali sijajua kama ilifanikiwa au laa na anapopita na msafara wake huyo mr anakuwa na magari 3 ya kifahari vx v8 ikiwa moja wapo na anatembea na king'ola hasimamishwi na yeyote yule barabarani na waumini wake ndio wale wanaovaa nguo nyeupe mwanzo walikuwa pale mbezi makonde ila sasa wamegawanyika ndio wengine wapo tegeta ila ninachompenda anawafundisha waumini wake mbinu za kusaka pesa ktk nyanja mbalimbali
Huko Ni kuturoga sisi wenye nyumba. Nikijua aliyepanga nyumba yangu kahamia huko nafukuzaDa umenikumbusha jana nimepanda coaster kwenda ,karakoo Kapanda mama ...mmoja ndio agent wa mchungaji anajiita ,Mtabiri nyuki ...anadai wanasabuni ukiogea hizo madeni yote kwisha ,nyumba ya kupanga ww ndio utakuwa na sauti kuliko baba mwenye nyumba anaalika watu waende kuombewa
Halafu utakuta waumini wanapiga makofi na kushangilia flash.Huyu mchungaji mkorofi kweli wakati mwingine Huwa ana tuwekeaga flash yeye anaenda zake kuangalia mechi.