Hii ni vitumbua republicWazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Hapo hata maiti zimeshangaa , hakika Makonda ana uwezo mdogo sana .Na ndani ya wiki moja wameshaacha na wako clean
The Boss ! Ningefurahi sana sana kama walau asilimia 50 ya watanzania tungekuwa na uwezo wa kuona ulichozungumzia. Lakini nakuhakikishia ni wachache sana wanaoona hivyo. Na ndio maana wanasiasa wameamua ku- ''give the people what they want''. Kwa kifupi kabisa umesema ukweli ambao ndio tatizo la Tanzania. Tatizo la Tanzania ni sisi wananchi wake. Hatujijui, tunafuata mkumbo tu. We are in the state of mass ignorance. Zamani walikuwa wanatania mwenge ndio unatumika kutupumbaza na mimi nilikuwa naona wenye imani hizo ni wajinga, lakini kutokana na kinachoendelea nyakati hizi huenda nikaamini.Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Kwanini usijadili Hoja badala ya Jina? haijalishi Banana au Maandazi Hoja hii imekuwa yakupigiwa Mfano kwa Sarakasi za Watawala....kuwaona watu wao maBWEGE na wenyewe wanashangilia....Ni Maandazi Republic au Banana Republic Mkuu? Chagua kwanza moja hapo ili tujadili. Tanzania yetu sote,tutakwenda mbele tu hata kwa kukosoana na kuelekezana
full "mzuka"Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Kwanini usijadili Hoja iliyopo,?"Mtaalamu wa kuponda kila kitu"!!!
Tatizo steering Mkuu, haaminiki.na wanabahati wamebadilisha script na director otherwise tungejionea mengi ambayo hatujawahi kushuhudia
Umesema kweli kabisa kiongozi. Ingetokea siku moja watu wote wakajielewa hii Maandazi Republic ingebadilika.Kuna viongozi ambao wamejifungia ndani hawataki kwenda nje wakajifunze angalau kidogo, wengine wana mawazo ya kizamani, they live in their own bubble ya kuamini mzungu mbaya, matajiri wabaya, hate hate hate, kila kitu kidogo ni hasira. Na hata wakiomba kura watapewa tena na tena kwa kua wananchi asilimia kubwa wapo kwenye the same bubble, kati ya wapiga kura wote unaweza kuta 20% tu ndio wanajielewa, wengine wote wanaamini propaganda. Its a really tough battle.
Mi nadhani tuiite NGANO REPUBLIC maana ina mambo mengi ka ngano, beer, chapati, maandazi, mikate, keki, sambusa, kaukau, hadi urojo na mtori wa ngano mtauona kwenye hii republic
hahahahaha hivi mbona pumzi imekata mapema? tuliza munkari bado miaka 8.Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Kuna viongozi ambao wamejifungia ndani hawataki kwenda nje wakajifunze angalau kidogo, wengine wana mawazo ya kizamani, they live in their own bubble ya kuamini mzungu mbaya, matajiri wabaya, hate hate hate, kila kitu kidogo ni hasira. Na hata wakiomba kura watapewa tena na tena kwa kua wananchi asilimia kubwa wapo kwenye the same bubble, kati ya wapiga kura wote unaweza kuta 20% tu ndio wanajielewa, wengine wote wanaamini propaganda. Its a really tough battle.