mushi kweka
Member
- Jun 25, 2013
- 7
- 1
Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo
Mwenye data atupie hapo