Vituko vya January Makamba

Vituko vya January Makamba

mushi kweka

Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo
 
Anaongozaje jimbo lake ikiwa hana nyumba huko bumbuli?
 
Huyu jamaa kaniboa sana kimaadili na mambo aliyofanya Tanga mjini.
 
kuna tetesi nliwahi kuskia mahali, eti mama yake alikuwa mwanafunz wa baba yake (mzee makamba). kisa cha mzee yusuf makamba kutimuliwa kazi ya ualimu enzi hzo eti ni kumtia ujauzito mwanafunz ambaye ndo mama wa january.
 
kuna tetesi nliwahi kuskia mahali, eti mama yake alikuwa mwanafunz wa baba yake (mzee makamba). kisa cha mzee yusuf makamba kutimuliwa kazi ya ualimu enzi hzo eti ni kumtia ujauzito mwanafunz ambaye ndo mama wa january.

Too personal kaka! vaa viatu vya watoto wa Makamba na upo jf
 
Too personal kaka! vaa viatu vya watoto wa Makamba na upo jf

FYI, ukishakuwa public figure, personal stuffs zako zinakuwa of public interest. kama umekwazika, zoea tu. mbona hushangai ya Nape na tamthiliya ya baba yake??
 
Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo

Hayo ni maisha binafsi ya mtu na sioni yanakuhusu nini. kama anafikia hotelini na kazi anaifanya ipasavyo nyumba ya nini? Kuna mambo kadha wa kadha wa kujadili hapa JF lakini sio hayo
 
kuna tetesi nliwahi kuskia mahali, eti mama yake alikuwa mwanafunz wa baba yake (mzee makamba). kisa cha mzee yusuf makamba kutimuliwa kazi ya ualimu enzi hzo eti ni kumtia ujauzito mwanafunz ambaye ndo mama wa january.

Dhambi ya BABA na MAMA isihusishwe na motto jamani!!!
 
Hii nchi ndio maana hatuendelei tuna focus sana on personal issues than real issues sasa issue hii inasaidiaje kukuongezea hela mfukoni au madawati mashuleni?majungu tu na mapretender
 
Leta Maada zenye mshiko sio kujadili habari za watu


Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo
 
kuna tetesi nliwahi kuskia mahali, eti mama yake alikuwa mwanafunz wa baba yake (mzee makamba). kisa cha mzee yusuf makamba kutimuliwa kazi ya ualimu enzi hzo eti ni kumtia ujauzito mwanafunz ambaye ndo mama wa january.

Tatizo ni nini hapo? ingekuwa mbaya angemtelekeza.
 
Jamani naibu waziri wa mawasilano Mh January Makamba kumbe hana nyumba ya kuishi kwenye jimbo lake anafikia hotelini na kufanya kazi zake hotelini na kuondoka Dar es saalam huwa anafikia Lushoto .
Mwenye data atupie hapo
inakuhusu nn ulitaka akafikie kwa baba yako? Leta hoja ya msingi toa ujinga hapa
 
kuna tetesi nliwahi kuskia mahali, eti mama yake alikuwa mwanafunz wa baba yake (mzee makamba). kisa cha mzee yusuf makamba kutimuliwa kazi ya ualimu enzi hzo eti ni kumtia ujauzito mwanafunz ambaye ndo mama wa january.

Hata ww kabla hujazaliwa baba yako alimpa mimba mama yako
 
Mbona humsemi mkapa anayeishi lushoto na kuacha kwao masasi?
 
Back
Top Bottom