billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,442
- 1,662
Na sasa kahamia kwenye dettol
Mshana Jr, much respect kwako, Waafrika ni watu wa kipekee sana, wao ndio natives wa ulimwengu huu.
Wao hawatengenezi virusi Wala magonjwa, ila wanaweza kukutengenezea ajali ya barabarani, ukagongwa na baiskeli halafu badala ya kuvunjika unapata kipindupundu katikati ya kiangazi







Alikua sahihi kabisa100%
Tusamehewe madeni yote
Hio hela tutumie kujisanitize,kufanya mass testing ect...
Tuendelee na kazi ,si unaona watu wameachishwa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app







. . 6:5-15
MT. 6:5-15 SUV
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi. Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba. Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe leo riziki yetu. Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.] Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
View attachment 1434632
Jr![]()
Huwa hawaanguki haraka... Wanakuwa na backup kwenye kila mission yao... This time kakimbia koronya yuko self isolation kwa jina la kufanya maombi koronya lipoteeTb Jshua ni Master wa maigizo. Anajua kutengeneza unabii na namna ya ku-react pindi unabii wake ukifeli. Kusema eti anaenda mlimani kuomba ni mwendelezo vituko vyake baada ya utabiri wake wa 27 March kushindwa vibaya. Tb Joshua hana mda mrefu anguko lake linakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app





Huwa hawaanguki haraka... Wanakuwa na backup kwenye kila mission yao... This time kakimbia koronya yuko self isolation kwa jina la kufanya maombi koronya lipotee
Jr![]()
Aisee umeajuaje? Kwanini unakuwa na akili finyu kiasi hiki kama makalio ya bata?
Jr[/wewe ni kilaza tu hula lolote hoja zako ni za kipumbavu tu
Sent using IPhone X