DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,641
- 81,543
Hii nayenyewe ni habari nzito ,kama mtu kula mtu.
Mshana Jr, much respect kwako, Waafrika ni watu wa kipekee sana, wao ndio natives wa ulimwengu huu.
Wao hawatengenezi virusi Wala magonjwa, ila wanaweza kukutengenezea ajali ya barabarani, ukagongwa na baiskeli halafu badala ya kuvunjika unapata kipindupundu katikati ya kiangazi






Kaidhinisha kinyume na amri ya mahakama.. Kisha akamgawia kila mbunge DOLA 3000Hii taarifa ya Uganda imekaaje,mbona leo asubuhi nmeskia BBC eti Spika wa bunge kagoma kuidhinisha fedha USD mil.3 sawa na Bil.10 za uganda kwa ajili ya wabunge kupambana na Corona?
Sent using Jamii Forums mobile app

Mtumeni Zito aende akazuie.Ule mkopo wa World Bank kwa nchi ziliathirika uzingatie hatua za nchi hizo katika kupambana na corona.
Ninachoenjoy n kwamba kila mtu anambinu zake za kujikinga africa maana hata wao waliouleta china hawajatoa mbinu zao hadharan mpaka ugonjwa unaisha china, vip mataifa yaliyopukutika kama majan ital marakan na mengine kikubwa uhai tu Africa lazma tusimame kivyetu vyetu
Unachotakiwa ukijue kutoka kwa mabeberu n hawatupend wanatuchukia zaid unavyomchukia mtu aliyekukosea maishan mwako hawana huruma na sisi hata kidgo wanataman tungepukutika wote na corana naona inazid kugonga mwamba
Ushaur wangu hao mabeberu kipind hich sio wakuwasikiliza hata kidgo akili ya kuambiwa changanya na yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni - JamiiForumsNipo hapa, Muda utazungumza. Haujawahi kuongopa

Yote tisa kumi Kenya,wale watu 50 waliotoroka karantini,hapo utajua sisi wafrika vichwa vyetu vigumu kuelewa,sasa wale hamsini mmoja tuakipatika na Corona anaweza ambukizwa wengine zaidi ya 50.Ni wazi sasa baadhi ya nchi ya kiafrika zimeamua kwenda kinyume na kanuni za kimataifa za kitaalam za kupambana na virus vya Corona. Ni kama vile Afrika inataka kutoka kivyake na kuithibitishia dunia kuwa AFRIKA IKIAMUA INAWEZA...
Huko Madagascar rais wa nchi hiyo ametangaza kuwa majani ya aina fulani ya chai yanatibu virus vya Corona huku akithibitisha wagonjwa 20 kupona.. Shirika la afya duniani limesema dawa hiyo haijathibitishwa kitaalam na inaweza kuwa na madhara makubwa kiafya
Nchini Tanzania mkuu wa nchi amesisitiza maombi na matumizi ya kuvukiza maji ya mvuke kama tiba na kinga sahihi ya corona lakini wakati huo huo waziri wake wa afya akisema kuvukiza sio njia sahihi na salama kwakuwa njia ya hewa haikuumbwa kupitisha moto... Wananchi wamebaki na kizungumkuti kikubwa kushindwa kujua wamuamini nani
Nchini DRC wao wametoka kivyao... Wanasema virus vya Corona ni uzushi mtupu na wananchi wameanza kuhamasishana kwa njia ya muziki na kula bata.. Kwamba ukijichanganya kwenye kucheza na kurukaruka (dhana ya kutoka jasho) kama ile ya kuvukiza tuu... Virus vinakimbia
Nchini Uganda hali ni tofauti kidogo.. Spika wa Bunge la nchi hiyo ameidhinisha USD million 3 kinyume na maagizo ya mahakama ili zikasaidie mapambano dhidi ya corona huku kila mbunge akiingiziwa USD 3000 toka kwenye hilo fungu.. Ukostaajabu ya Musa utaona ya firauni.. Eti Museveni hana habari na hilo jambo na amewatahadharisha wabunge wasitumie hizo pesa kwakuwa ni kinyume na maamuzi ya mahakama
Huku mitaani mafundi nguo wamepata biashara ya kushona barakoa.. Usalama wake ni kiasi gani? Hilo sio muhimu kwa sasa.. Kikubwa kuziba pua... Utadhani corona ina harufu...
Vyovyote iwavyo Afrika inajaribu kutoa ujumbe fulani kwa mabeberu na hii inaweza kuwa mwanzo wa kuwindana hasa kama njia za Afrika zitafanya kazi.. Lakini mpaka hii corona ipite tutashuhudia mengi mno
Je umesikia na hiki kilio cha nchi za Afrika kutaka kusamehewa madeni yake makubwa na mabeberu ili pesa hizo zitumike kupambana na korona?
Nje ya mada: corona imeua biashara ya lipstick
Jr![]()
Iko pw kila mtu atoe mawazo yake si kazi yetu kuchuja. Pumba pemben nyama tunakula.Ni wazi sasa baadhi ya nchi ya kiafrika zimeamua kwenda kinyume na kanuni za kimataifa za kitaalam za kupambana na virus vya Corona. Ni kama vile Afrika inataka kutoka kivyake na kuithibitishia dunia kuwa AFRIKA IKIAMUA INAWEZA...
Huko Madagascar rais wa nchi hiyo ametangaza kuwa majani ya aina fulani ya chai yanatibu virus vya Corona huku akithibitisha wagonjwa 20 kupona.. Shirika la afya duniani limesema dawa hiyo haijathibitishwa kitaalam na inaweza kuwa na madhara makubwa kiafya
Nchini Tanzania mkuu wa nchi amesisitiza maombi na matumizi ya kuvukiza maji ya mvuke kama tiba na kinga sahihi ya corona lakini wakati huo huo waziri wake wa afya akisema kuvukiza sio njia sahihi na salama kwakuwa njia ya hewa haikuumbwa kupitisha moto... Wananchi wamebaki na kizungumkuti kikubwa kushindwa kujua wamuamini nani
Nchini DRC wao wametoka kivyao... Wanasema virus vya Corona ni uzushi mtupu na wananchi wameanza kuhamasishana kwa njia ya muziki na kula bata.. Kwamba ukijichanganya kwenye kucheza na kurukaruka (dhana ya kutoka jasho) kama ile ya kuvukiza tuu... Virus vinakimbia
Nchini Uganda hali ni tofauti kidogo.. Spika wa Bunge la nchi hiyo ameidhinisha USD million 3 kinyume na maagizo ya mahakama ili zikasaidie mapambano dhidi ya corona huku kila mbunge akiingiziwa USD 3000 toka kwenye hilo fungu.. Ukostaajabu ya Musa utaona ya firauni.. Eti Museveni hana habari na hilo jambo na amewatahadharisha wabunge wasitumie hizo pesa kwakuwa ni kinyume na maamuzi ya mahakama
Huku mitaani mafundi nguo wamepata biashara ya kushona barakoa.. Usalama wake ni kiasi gani? Hilo sio muhimu kwa sasa.. Kikubwa kuziba pua... Utadhani corona ina harufu...
Vyovyote iwavyo Afrika inajaribu kutoa ujumbe fulani kwa mabeberu na hii inaweza kuwa mwanzo wa kuwindana hasa kama njia za Afrika zitafanya kazi.. Lakini mpaka hii corona ipite tutashuhudia mengi mno
Je umesikia na hiki kilio cha nchi za Afrika kutaka kusamehewa madeni yake makubwa na mabeberu ili pesa hizo zitumike kupambana na korona?
Nje ya mada: corona imeua biashara ya lipstick
Jr![]()