KwakweliJini lazima acheke sana, na ukifa lazima damu zitoke mdomoni hata unywe sumu
The Curious case of Mzee Majuto.Majuto mtoto wa jb
Heeeh, huyu Afande vipi tena. "Marehemu wetu wapone haraka ili warejee kwenye majukumu yao"!! Hii hutuba iliandikwa lakini!Na hii sio bongo movie kweli?View attachment 835187
Najiulizaga ktk soundtrack napata maswali mengi pasipo majibu
Usizunguke saana, hakuna polisi wa kukukamata humu JF, wooote wa TZ ndo mlivyo, kulizia polisi1Wakuu mumewahi kujiuliza ni kwanini movie zote za bongo mtu akipiga simu polisi anauliza kwanza
"Hallo hapo ni kituo cha polisi ?"
Sasa namba mpaka unaisave kwani ulikua hujui ni ya nani
Wazungu wakifa wanapumzika Ila wabongo wakifa wanakuwa mizimu ya kusaidia walio haiNa hii sio bongo movie kweli?View attachment 835187