Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,872
Wakuu mumewahi kujiuliza ni kwanini movie zote za bongo mtu akipiga simu polisi anauliza kwanza
"Hallo hapo ni kituo cha polisi ?"
Sasa namba mpaka unaisave kwani ulikua hujui ni ya nani
"Hallo hapo ni kituo cha polisi ?"
Sasa namba mpaka unaisave kwani ulikua hujui ni ya nani