Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,761
Kumbe ni mmama kweli. Nampendaga tu makavu yakeHapana siyo kweli
Mie nimeshawahi kuonana nae ni wale wamama wako straight hawatakagi ujinga.
Kumbe ni mmama kweli. Nampendaga tu makavu yakeHapana siyo kweli
Mie nimeshawahi kuonana nae ni wale wamama wako straight hawatakagi ujinga.
Kijo BisimbaHapana siyo kweli
Mie nimeshawahi kuonana nae ni wale wamama wako straight hawatakagi ujinga.

Achana nae embu tufurahi zetu sisi. Sema Mambembe nae sijui alipotelea wapi jomoni. Nilikua nakaa kwa hamu nasubiria chambo langu maana aliniambia ananisubiri kwa hamuMm zaidi nilikua namwangalia huyo anayesema sijui na I'd mbili sijui nilimqote hata thread hajawahi anzisha yaan anataka kiki nitampa kiroho safi




Akiwa mama yako ukimpelekea mkwe anamkagua mpaka soksi alizovaaKumbe ni mmama kweli. Nampendaga tu makavu yake
Tatizo cheupe mrembo watamnanga wakifika katikati wanaona hawana kingine wanabaki mademu wa JF wana njaawatampa cheupe au wataanza kumnanga


Walikuunganisha haoHata mimi nahisi mods walifanya yao,
Maanake nimelog in naona id hii hapa
Nacomment ikaja ile ya me..
Nilivyolog out sikurudia tena.



Hata mimi nahisi mods walifanya yao,
Maanake nimelog in naona id hii hapa
Nacomment ikaja ile ya me..
Nilivyolog out sikurudia tena.




walikuungaAlipigwa Banned Uyo MtuAchana nae embu tufurahi zetu sisi. Sema Mambembe nae sijui alipotelea wapi jomoni. Nilikua nakaa kwa hamu nasubiria chambo langu maana aliniambia ananisubiri kwa hamu![]()
JF Vituko vingi sana mfano mdogo tu unaweza kuta hata hapahapa hawa wanaochangia sana Mzigua90 Ambiele Kiviele Shunie kumbe ni mtu mmoja, muhimu we changia kama mimi ukwendre..Mfano tu nimetoa jameni




ni kweli me na mzigua mtu mmojaDaaaahh Uyo BalaahAkiwa mama yako ukimpelekea mkwe anamkagua mpaka soksi alizovaa
Tatizo cheupe mrembo watamnanga wakifika katikati wanaona hawana kingine wanabaki mademu wa JF wana njaa![]()




umeona eenh
Akirudi atapambana na weweAchana nae embu tufurahi zetu sisi. Sema Mambembe nae sijui alipotelea wapi jomoni. Nilikua nakaa kwa hamu nasubiria chambo langu maana aliniambia ananisubiri kwa hamu![]()


Chuepe Tena ....???Tatizo cheupe mrembo watamnanga wakifika katikati wanaona hawana kingine wanabaki mademu wa JF wana njaa![]()
Hahahaa mabazazi wanatusoma tu hapaYani ananikera hornet hajui tuu
Dawa ndo hiyo, mtu anaetaka kufosi ligi we unajifanya humuoni,anaumiaaaaaaa hehehehYupo mmoja jamani. Baadae akachoka kunidis maana aliona sielekei kutaka league nae sasa hivi tumekua marafiki
Hivi mambembe ni nani?Akirudi atapambana na wewe![]()
ChaaAkiwa mama yako ukimpelekea mkwe anamkagua mpaka soksi alizovaa



Mmmmhhh Ebu Yasema HayoHahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa
Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...
Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
Hahahahaa..JF Vituko vingi sana mfano mdogo tu unaweza kuta hata hapahapa hawa wanaochangia sana Mzigua90 Ambiele Kiviele Shunie kumbe ni mtu mmoja, muhimu we changia kama mimi ukwendre..Mfano tu nimetoa jameni