Vituko na vioja vya wadada wa benki

yote uliyozungumza nimeyashuhudia, la kwanza hilo la kutukanwa, kuna kademu cha kimbulu nilikuwa nacho kuna siku kakanitukana balaa kwenye simu, mm nikakaa kimya sikumjibu chochote kesho yake ananiomba msamaha huko akiomba aje ghetto nimdinye, na alivyokuwa na mkia sikumkatilia nikamwambia njoo mama ila moyoni mwangu nilishamtoa thamani.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata Mimi nisingekataa!
 
Kuna dada ofisi moja ya serikali sikupendezwa na huduma yake nikamchana akawa ana nipandishia tukawa tunabishana mwisho akasema kama una malalamiko twende kwa bosi nikasema twende....kumbe wanafanya kazi na polisi akanipeleka kwa polisi wa ile ofisi akajua nitawatetemekea wale polisi nao tukawa tunabishana mle ofisi nzima na sikika mimi na polisi hadi polisi wakanitimua wakanambia umekua nani kwenye nchi hiii...kesho nikarudi nikaenda kwa bosi wake directly bosi alikua mstarabu aliniomba radhi akasema wasamehe unajua wanawake tena ao wakipata kazi wanakua vijeuri.
 
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Kwa hiyo mkuu assume Mimi ni mteja wa siku nyingi wa nmb au nbc lkn huwa naenda mara chache tu kuchukua pesa ukiingia mshahara na mara nyingi natolea kwenye Atm.
Kwa mazingira Kama hayo atanijua Nani benki?
Wanaojulikana ni wale wanapeleka mizigo ya maana ya pesa labda kila mwezi milioni 500 huko lakini sio kwa watu wenye vimshahara vya laki 6 vinavyopitia benki.
 
Kwa hiyo mkuu assume Mimi ni mteja wa siku nyingi wa nmb au nbc lkn huwa naenda mara chache tu kuchukua pesa ukiingia mshahara na mara nyingi natolea kwenye Atm.
Kwa mazingira Kama hayo atanijua Nani benki?
Wanaojulikana ni wale wanapeleka mizigo ya maana ya pesa labda kila mwezi milioni 500 huko lakini sio kwa watu wenye vimshahara vya laki 6 vinavyopitia benki.
Be friendly. Kuwa muungwana na wengine watakufanyia uungwana. It wont cost you an arm and a leg.
 
Be friendly. Kuwa muungwana na wengine watakufanyia uungwana. It wont cost you an arm and a leg.
Kwa hiyo mkuu unataka watu wapoteze muda kuanza kujipendekeza na kumzoea kila muhudumu wa benki huoni hiyo ni biashara ya kizamani sana.
Wewe ukianzisha biashara kuwa fair kwa kila mteja as long as unahitaji pesa yake.
Hakuna sababu ya msingi ya kuanza kuchagua kwamba ni mteja gani anakuchangamkia na yupi hakuchangamkii.
 
Kwa hiyo mkuu unataka watu wapoteze muda kuanza kujipendekeza na kumzoea kila muhudumu wa benki huoni hiyo ni biashara ya kizamani sana.
Wewe ukianzisha biashara kuwa fair kwa kila mteja as long as unahitaji pesa yake.
Hakuna sababu ya msingi ya kuanza kuchagua kwamba ni mteja gani anakuchangamkia na yupi hakuchangamkii.
Jesus! Kuwa friendly sio kujipendekeza. Kuwa muungwana tu hamna aliekwambia umzoee au ujipendekeze. Vitu vingine unaongea wewe sio mimi.
 
Point mkuu!!!, yote uliyozungumza nimeyashuhudia, la kwanza hilo la kutukanwa, kuna kademu cha kimbulu nilikuwa nacho kuna siku kakanitukana balaa kwenye simu, mm nikakaa kimya sikumjibu chochote kesho yake ananiomba msamaha huko akiomba aje ghetto nimdinye, na alivyokuwa na mkia sikumkatilia nikamwambia njoo mama ila moyoni mwangu nilishamtoa thamani.

Tukio la pili kuna jamaa tunafanya naye kazi ana mke yuko bank NMB, mke anamzidi jamaa mshahara ila mpaka pesa ya mafuta ya gari analoendea kazini mke jamaa anatoa, kiufupi mke pesa yake jamaa hajui anafanyia nn. Majukumu yote ya ndani, ada za watoto nk jamaa ndio anawajibika, basi ukimkuta mshikaji anahadithia anatia huruma sana wakati mwingine huwa anajuta kuoa huyu demu.

Sent using Jamii Forums mobile app

teh...teh!! teh!! mwambie huyo jamaa yako akome
 
Kuna wengine wanafanya,kazi wasioipenda , mimi nimefanya nao kazi na nimekwishawahi kuwa teller ,sometimes kazi za mule zinachosha na ku bore, unapewa dakika 10 za kula chakula ,na unapewa target za kufa mtu , so uvumilivu kwa wengine mdogo, anakuwa na frastruation za majukumu ,ukikose a ka kitu kadogo anakuza .

pia wengine ni hulka zao na vijitabia, wanaona kama wametoboa kumbe ni watunza fedha tu...

kwa akili hizi halafu tukiwapa kazi wakenya mnaanza kulia lia!! ***** kwenye kampuni yako mswahili ataishia kuwa mlinzi tu.
 
Wakuu za mida hii?

Leo nimeona tuwaangazie hawa dada zetu wa benki ambao baadhi yao wanadharau sana kitu ambacho ni kinyume na maadili ya kazi zako.

Kuna kipindi rafiki yangu alienda benki moja kuulizia wamefikia wapi mchakato wa kuwaita kwenye " interview " cha ajabu yule dada akamjibu nanukuu " unadhani ukijipitisha hapa ndio utaonewa huruma" .

Mimi pia kuna dada benki teller alinidharau wakati ananihidumia nikamuangalia tu.

Je wewe umekutana na lipi kutoka kwa hawa Maofisa wa kike wa benki?

Nawasilisha.
Nilienda kuhudumiwa huku mzungu mwanaume akiwa nyuma yangu, muda wote mhudumu katulia nilipofika kaniambia mpishe kwanza huyo mzungu alafu utafuata. Nilimpisha ila nilikasirika sana. Baada ya kunihudumia nikashukuru kwa sauti kubwa " Asante kwa Customer care nzuri " hakuitikia ila alibaki ananiangalia tu.
 
Jesus! Kuwa friendly sio kujipendekeza. Kuwa muungwana tu hamna aliekwambia umzoee au ujipendekeze. Vitu vingine unaongea wewe sio mimi.
Sasa mkuu watu wako bize na shughuli zao unataka wapoteze muda kuanza kuongeaongea na watu wa benki ili aonekane muungwana.
Au kuwa muungwana umemaanisha ni kufanyaje labda?
Maana mtu Kama Hana hiyo tabia ya uungwana katika maisha yake yote,kwa nini ajilazimishe au aigize uungwana akiingia benki tu?
 
Kwa sasa wananyooka, tena wameanza kuwa wezi... ukizubaa tu wanakupiga bila aibu... anahesabu pesa na kudondosha moja.... hawana nyimbooo... zilipendwaaa
Inawezekana kumbe daah! Basi kimdada cha crdb kishawai nipiga 20k
 
Nilienda kuhudumiwa huku mzungu mwanaume akiwa nyuma yangu, muda wote mhudumu katulia nilipofika kaniambia mpishe kwanza huyo mzungu alafu utafuata. Nilimpisha ila nilikasirika sana. Baada ya kunihudumia nikashukuru kwa sauti kubwa " Asante kwa Customer care nzuri " hakuitikia ila alibaki ananiangalia tu.
Aisee wewe una moyo.
Ingekuwa ni Mimi nisingempisha na pangechimbika na angemuita meneja wake ajieleze alitumia criteria gani ya kumhudumia mzungu halafu aniache Mimi.
 
wa tawi gni
Tawi sisemi hapa ila mkoa ni Arusha
Alinambia eti mbona hela hazijatimia na ulizoandika hapa!
Ikabidi nirudi kwa aliyeniagiza, ila nahisi basi na ye alidondosha mana zilikuwa ni noti 116 za 5k afu akapunguza 4 daaah
 
Kwakweli mi NBC X nilikuwaga naenda tu napata huduma narudi bila kuwa na connection yoyote by then nilikuwa mjamzito, baada ya kujifungua ikapita muda sijaenda.
Siku nilivyoenda nilishangaa sana na nilivyochangamkiwa na kupata huduma ya haraka wakisema niwahi kwa mtoto
 
Back
Top Bottom