Vituko na vimbwanga safarini

kocha Nabi

JF-Expert Member
Feb 1, 2022
600
1,513
karibu tufurahishane, na kushare visa mbalimbali ambavyo umewahi kukutana navyo ukiwa safarini.

kuna siku nilipanda basi(kilimanjaro exp) tanga (kabuku) ikitokea arusha to dar mida ya saa3 usiku wakati tumeiacha msata maeneo ya mwetemo tukiwa tunaitafuta kiwangwa, basi ilipata hitirafu na kuzima katikati ya bara bara

kimbembe kilikuwa mlango umegoma kufunguka coz mifumo yote haifanyi kazi. wenye uwezo tulitokea dirishani na kuwahi kuweka majani kwani hata triangle gari haikuwa nayo, ndani ya basi kulijaa moshi tukawa tunasaidia watu kitoka dirishani kumbuka basi ni refu ukiwa unatokea kwa dirishani. na ilikiwa ukitolewa lazima watu wakumulike na torch za simu ili wakuelekeze pa kukanyaga hatimaye wakusaidie.

hii siku wanawake waliovaa sketi bila kukali walifunua nguo zao ili wapate kutoka kwani ndani ilikuwa kila mtu anaokoa roho yake.

baada ya zoezi kukamilika ndipo balaa kamili lilianza, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 6 usiku wakati tunasubiri gari nyingine kutubeba, kuna semi ya mafuta ilikuwa full ikitokea msata uelekeo bagamoyo, speed iliyokuwa nayo ni kama ndege inataka kufanya takeoff.

kuja kutahamaki mbele kuna gari ambayo haiwaki taa ya aina yoyote kulia pia kuna gari inakuja. alichoamua ni kuelekeza upande wake wa kishoto ambao watu walijilalia kwenye majani wenye kuwasiliana na ndugu, wenye kupiha dua, wenye kulala n.k.

mimi kwa uelewa wangu wa majanga nililicha gari mita 100 nikakaa zangu nikimsoma mwanagu rikyboy na uzi wake pendwa. gjafla nkaona kundi la watu likitimka mwenye kuingia kichakani, mwenye kutaka kurudi kwenye gari, mwenye kuingia chini ya uvungu kila mmoja alikuwa na uelekeo wake.

hakika lilikuwa tukio la kuhuzunisha ila kwa rehema za Mungu dereva alijitahidi kusimamisha gari hadi tank ilipakaa mafuta tu yakimwagika kwa kunesa.

nina hakika humu tumekutana sana na vituko tukiwa safarini, karibu ushare nasi tujifunze.​
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
hahahahahahahahahaha mkuu sio poa. dah umenikumbusha malumbwe.
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
Stock ya Mukaka
Umeniacha mkuu!
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
kama unaweza ruka qum****o

Nimecheka sanaa hiyo ogopa sana kuingia kwenye chuma la mgiriki
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.

Hahahahahahaaa!!iyo ndio dawa yao
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
 
Siku moja baada ya zile shamra shamra za sikukuu nlikua natoka dom.
Kipimdi hyo gari zimeshona balaa kupata siti n mtihani.
Kupitia connection kibao nkawa nmepata ka siti ndani ya hyo basi.
Pembeni yangu kulikua na mdada ( maama tukisema mmama kias flan hajakidhi vigezo).
Nakumbuka alikua na watoto watatu.
Wale machalii hawapishani sana, tunasema wamezaliwa kama ngazi.
Mashine imeacha mnada mpya tu kash kash zikaanza, madogo ful usimbufu, mara huyu kamkwida mwenzie, mara huyu ametupa chupa ya maji n.k.
Yule dada hapo anakomaa kunyinyesha kale ka mwisho.
Mpka tumefika bahi, discipline ya wale watoto bado iko pwani.
YUle manzi nkaona akatafakariii, ghafla akakomaa kumnyonyesha yule mdogo mpka akashiba akalala.
Alivolala tu, akampa abiria wa ipande mwingine amshike mtoto mara moja.
Aisee, yule dada alimtembezea mtoto mkubwa kichapo HEAVY na hapo mashine inazidi kuyeya tu.
Dogo alikula kifinyo, alikua anapiga nduru kama yote lakn hakuna wa kumsaidia, maza mtu yuko bize kuonyesha ukakamavu wa kipondo.
Kwakua abiria tushachoka mayowe na usumbufu wote tumemyuti tunaangalia hyo show.
Dogo nafkiri akapiga hesabu, akaona hapa bi mdash ataniwahisha mawinguni, ikabd aje na tactic mpya.
Kilio ikageuka from mama, mamaaa, up to
MAMA USINIPIGE TENA NAJISKIA KUNYA, MAMA NAJINYEA MIMI.
Aaah hapo abiria tukaona sasa hii inataka kuharibu weather, ikabd tumwambie amteme tu maana dogo akikata chela mule ndani safari itakua ngumu.
Ndo chalii akaachiwa. I remember dogo hakuongeza neno, aliegemea siti akalala amekuja kuamka singida. Akashuka akakojoa, akarudi akafinya diko, akakata tena moto mpka almost mwanza.
 
Siku moja baada ya zile shamra shamra za sikukuu nlikua natoka dom.
Kipimdi hyo gari zimeshona balaa kupata siti n mtihani.
Kupitia connection kibao nkawa nmepata ka siti ndani ya hyo basi.
Pembeni yangu kulikua na mdada ( maama tukisema mmama kias flan hajakidhi vigezo).
Nakumbuka alikua na watoto watatu.
Wale machalii hawapishani sana, tunasema wamezaliwa kama ngazi.
Mashine imeacha mnada mpya tu kash kash zikaanza, madogo ful usimbufu, mara huyu kamkwida mwenzie, mara huyu ametupa chupa ya maji n.k.
Yule dada hapo anakomaa kunyinyesha kale ka mwisho.
Mpka tumefika bahi, discipline ya wale watoto bado iko pwani.
YUle manzi nkaona akatafakariii, ghafla akakomaa kumnyonyesha yule mdogo mpka akashiba akalala.
Alivolala tu, akampa abiria wa ipande mwingine amshike mtoto mara moja.
Aisee, yule dada alimtembezea mtoto mkubwa kichapo HEAVY na hapo mashine inazidi kuyeya tu.
Dogo alikula kifinyo, alikua anapiga nduru kama yote lakn hakuna wa kumsaidia, maza mtu yuko bize kuonyesha ukakamavu wa kipondo.
Kwakua abiria tushachoka mayowe na usumbufu wote tumemyuti tunaangalia hyo show.
Dogo nafkiri akapiga hesabu, akaona hapa bi mdash ataniwahisha mawinguni, ikabd aje na tactic mpya.
Kilio ikageuka from mama, mamaaa, up to
MAMA USINIPIGE TENA NAJISKIA KUNYA, MAMA NAJINYEA MIMI.
Aaah hapo abiria tukaona sasa hii inataka kuharibu weather, ikabd tumwambie amteme tu maana dogo akikata chela mule ndani safari itakua ngumu.
Ndo chalii akaachiwa. I remember dogo hakuongeza neno, aliegemea siti akalala amekuja kuamka singida. Akashuka akakojoa, akarudi akafinya diko, akakata tena moto mpka almost mwanza.
dogo angechafua usalama wa ndani.
 
Kwa kuzingatia hizi route nina vingi vya kushare. Nitarudi baadae Wacha nitumikie kampuni kwanza
Screenshot_20230228-091440.jpg
 
Nilimpakia dada mmoja masumbwe akasema anaelekea Runzewe kipindi kile Strabag bado anatengeneza ile barabara, aliniomba lift, basi baada ya kuuacha ule mji, mbele kidogo nikaanza hisi kama mawenge hv bidada niliyempakia kama anafuka moshi yaani simuelewi, nikaweka chuma pembeni, nikashuka moja kwa moja kwenye trela, kule nilikuwa na stock ya Mukaka, nikanyonga nikaripua kitu, nikarudi zangu kwenye Cabin, Chuma ikarudi road, sasa ajabu yle muomba lift akawa anahaha, we mkaka zima hilo likitu lako, nikamwambia tulia umevamia meli ya wagiliki wewe kibwengo, nikapandisha vioo alaf nikafungua Roof, nikalock milango, Chuma iko Moto, inapumulia juu mimoshi ya Phantom, nikimuangalia yule khayawani namuona anabadilika badilika tu, kuna saa nilimuona ana kichwa cha Twiga kabisa, anasema simama ntakudhuru, mimi namwambia kama unaweza ruka qum****o mimi sisimami porini, tumeenda tunapigana biti mpaka tunafika Ushirombo saa mbili kasoro usiku, sasa ajabu kashuka ktk chuma langu akaenda kuomba lift kwenye chuma zinazorudi tulikotoka ule usiku, jamaa akataka kumpakia ikabidi nimuwahi nimwambie mwanangu lala usitoe chuma hilo Zombie.
Duuh, kichwa cha Twiga tena
 
karibu tufurahishane, na kushare visa mbalimbali ambavyo umewahi kukutana navyo ukiwa safarini.

kuna siku nilipanda basi(kilimanjaro exp) tanga (kabuku) ikitokea arusha to dar mida ya saa3 usiku wakati tumeiacha msata maeneo ya mwetemo tukiwa tunaitafuta kiwangwa, basi ilipata hitirafu na kuzima katikati ya bara bara

kimbembe kilikuwa mlango umegoma kufunguka coz mifumo yote haifanyi kazi. wenye uwezo tulitokea dirishani na kuwahi kuweka majani kwani hata triangle gari haikuwa nayo, ndani ya basi kulijaa moshi tukawa tunasaidia watu kitoka dirishani kumbuka basi ni refu ukiwa unatokea kwa dirishani. na ilikiwa ukitolewa lazima watu wakumulike na torch za simu ili wakuelekeze pa kukanyaga hatimaye wakusaidie.

hii siku wanawake waliovaa sketi bila kukali walifunua nguo zao ili wapate kutoka kwani ndani ilikuwa kila mtu anaokoa roho yake.

baada ya zoezi kukamilika ndipo balaa kamili lilianza, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 6 usiku wakati tunasubiri gari nyingine kutubeba, kuna semi ya mafuta ilikuwa full ikitokea msata uelekeo bagamoyo, speed iliyokuwa nayo ni kama ndege inataka kufanya takeoff.

kuja kutahamaki mbele kuna gari ambayo haiwaki taa ya aina yoyote kulia pia kuna gari inakuja. alichoamua ni kuelekeza upande wake wa kishoto ambao watu walijilalia kwenye majani wenye kuwasiliana na ndugu, wenye kupiha dua, wenye kulala n.k.

mimi kwa uelewa wangu wa majanga nililicha gari mita 100 nikakaa zangu nikimsoma mwanagu rikyboy na uzi wake pendwa. gjafla nkaona kundi la watu likitimka mwenye kuingia kichakani, mwenye kutaka kurudi kwenye gari, mwenye kuingia chini ya uvungu kila mmoja alikuwa na uelekeo wake.

hakika lilikuwa tukio la kuhuzunisha ila kwa rehema za Mungu dereva alijitahidi kusimamisha gari hadi tank ilipakaa mafuta tu yakimwagika kwa kunesa.

nina hakika humu tumekutana sana na vituko tukiwa safarini, karibu ushare nasi tujifunze.​
Tupe story nyingine
 
Kwa kuzingatia hizi route nina vingi vya kushare. Nitarudi baadae Wacha nitumikie kampuni kwanzaView attachment 2532301
1- Day moja nimetoroka chuo nipo Tanga kumuona mama na kula maisha kidogo.
Nipo home mida ya saa 3-4 asubuhi jamaa angu akanipigia simu kuwa kesho asubuhi raia zinasaini boom. Na utaratibu wa UDOM ulikua miyeyusho flan hivi.

Nikavaa chap, nikaaga home nikadaka basi la kampuni ya SATELITE linatoka Tanga Saa tano asubuhi lengo nishuke Chalinze niunge chuma za Dar za jioni.

Ile basi ni scania, ilikua inamwagika haswa yani, unasikia jiko la msweden linapiga mluzi tu. Kupita mkata kwa mbele kidogo dereva aliyumba yumba kukaa sawa tukasikia mzinga eneo la engine jamaa akayumba mpaka likakaa sawa parking. (Bahati nzuri nilikua siti za mbele)

Tukashuka, huku tunamuhoji dereva shida nini, akasema ule mzinga tumesikia aligonga KANGA (Hawa ndege kama kuku) kufunuliwa mashine tukakuta fan belt imekatika. Hakuna damu, dalili za damu wala manyonya. Ila dereva msimamo wake ni kuwa aligonga KANGA.

Ila hakika hatukumuona


2-DEREVA WA IBRA LINE YA MTWARA MWENYE UGONJWA WA KUSINZIA.

Siku naenda Lindi kazini, nikapanda IBRA LINE (not sure na hili jina kama ni IBRA LINE au IBRA classic)

NIkawa Siri ya mbele kabisa upande wa fala. Cha ajabu kondakta mwanamke akawa anakusanya vifuniko vya chupa za plastic akajaza kwa dashboard.

Muvi linaanza dereva kaingia jicho kama kapiga ganja, akanza kutafuna kifuniko na mwendo, kiisha lainika anatema anachukua kingine.

Kuka muuliza kondakta akaniambia asipofanya hovyo anasinzia kabisa,


3-ABIRIA KAZIMIA KWA SABABU YA MWENDO
Natoka dar kwenda Chimala Mbeya -2012, in summary gari iliharibika tukaondoka Moro 11 jioni kwenda mbeya. (basi la PRINCES MURO) hiyo chuma ilipigwa gia mpaka tukaanza kusali salamu Maria na Baba yetu.

Ilipigwa kiatu kufika iringa imezingua Tena. Taptizo lake ilikua gia zinaishia namba 3, ilirekebishwa. Iliondoka na Ukali sio wa kawaida (Yutong) ilipigwa gia mpaka kuna mother alizima. Tukamshusha makambako hospital, chuma ikarudi road na mto mwingi sana.
 
1- Day moja nimetoroka chuo nipo Tanga kumuona mama na kula maisha kidogo.
Nipo home mida ya saa 3-4 asubuhi jamaa angu akanipigia simu kuwa kesho asubuhi raia zinasaini boom. Na utaratibu wa UDOM ulikua miyeyusho flan hivi.

Nikavaa chap, nikaaga home nikadaka basi la kampuni ya SATELITE linatoka Tanga Saa tano asubuhi lengo nishuke Chalinze niunge chuma za Dar za jioni.

Ile basi ni scania, ilikua inamwagika haswa yani, unasikia jiko la msweden linapiga mluzi tu. Kupita mkata kwa mbele kidogo dereva aliyumba yumba kukaa sawa tukasikia mzinga eneo la engine jamaa akayumba mpaka likakaa sawa parking. (Bahati nzuri nilikua siti za mbele)

Tukashuka, huku tunamuhoji dereva shida nini, akasema ule mzinga tumesikia aligonga KANGA (Hawa ndege kama kuku) kufunuliwa mashine tukakuta fan belt imekatika. Hakuna damu, dalili za damu wala manyonya. Ila dereva msimamo wake ni kuwa aligonga KANGA.

Ila hakika hatukumuona


2-DEREVA WA IBRA LINE YA MTWARA MWENYE UGONJWA WA KUSINZIA.

Siku naenda Lindi kazini, nikapanda IBRA LINE (not sure na hili jina kama ni IBRA LINE au IBRA classic)

NIkawa Siri ya mbele kabisa upande wa fala. Cha ajabu kondakta mwanamke akawa anakusanya vifuniko vya chupa za plastic akajaza kwa dashboard.

Muvi linaanza dereva kaingia jicho kama kapiga ganja, akanza kutafuna kifuniko na mwendo, kiisha lainika anatema anachukua kingine.

Kuka muuliza kondakta akaniambia asipofanya hovyo anasinzia kabisa,


3-ABIRIA KAZIMIA KWA SABABU YA MWENDO
Natoka dar kwenda Chimala Mbeya -2012, in summary gari iliharibika tukaondoka Moro 11 jioni kwenda mbeya. (basi la PRINCES MURO) hiyo chuma ilipigwa gia mpaka tukaanza kusali salamu Maria na Baba yetu.

Ilipigwa kiatu kufika iringa imezingua Tena. Taptizo lake ilikua gia zinaishia namba 3, ilirekebishwa. Iliondoka na Ukali sio wa kawaida (Yutong) ilipigwa gia mpaka kuna mother alizima. Tukamshusha makambako hospital, chuma ikarudi road na mto mwingi sana.
Kwenye mwezi Wa 11 mwaka jana natoka MASASI kurudi DAR nimepanda WARDA EXPRESS chuma piriuu, bado ina maganda kwenye siti ,ac unaganda

Tumetoka Nangurukuru, chuma pigwa gia sana tupo mbali karibia na kituo cha ukaguzi wa maliasili kina choo cha kulipia upande wa kushoto kama unatoka LINDI nadhan no bungu pale.

Kuna msela brothermen kapiga modo akatoka nyuma mbio anawahi kwa dereva kufika pale dereva mambo yakakataa alitapika balaa, tapikia dashboard, dereva, aotibta dereva, kondakta , pale kwenye kigodoro kapachakaza. Jamaa walimind balaa ila ndio hakuna namna. Ikabidi tusimame hapo bungu gari ipigwe usafi .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom