Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,208
- 829,195
- Thread starter
- #199,601
MUME NA MKE WAMEPOTEA MAZINGIRA YA KUTATANISHA WAKIWA NA GARI MPYA NA MTU ALIYEWASINDIKIZA AITWAYE DUDU!
Juliana Medard (pichani) na Charles Aden Mwampyate (aliyepiga picha na gari) ambao ni wenzi (mume na mke) wakazi wa Kyela, Mbeya waliagiza gari bandarini. Lilipofika walimuomba
Jeremiah Swila maarufu kama Dudu (aliyevaa mkufu shingoni) asafiri nao kutoka Kyela hadi Dar es Salaam ili awasaidie katika kuendesha gari . Lengo lao lilikuwa Dudu yeye aendeshe gari mojawapo wakati wa kurudi.
Taarifa zinasema kuwa watu wote hao watatu wamepotea katika mazingira ya kutatanisha kwani tangu tarehe 6 Desemba 2023 hadi leo hawajulikani walipo. Hakuna anayejua taarifa za gari walilosafiri nalo kutoka Kyela na wala gari mpya kutoka bandarini. Ndugu wanasema kuwa siku mbili kabla ya Juliana na Charles waliaga kuwa wanatakwenda Dar es Salaam.
Yeyote atakayewaona anaombwa kutoa taarifa katika Kituo cho chote cha Polisi au apige simu
hizi: 0754840608, 0719979820 na 0765591232
Sent using Jamii Forums mobile app
Juliana Medard (pichani) na Charles Aden Mwampyate (aliyepiga picha na gari) ambao ni wenzi (mume na mke) wakazi wa Kyela, Mbeya waliagiza gari bandarini. Lilipofika walimuomba
Jeremiah Swila maarufu kama Dudu (aliyevaa mkufu shingoni) asafiri nao kutoka Kyela hadi Dar es Salaam ili awasaidie katika kuendesha gari . Lengo lao lilikuwa Dudu yeye aendeshe gari mojawapo wakati wa kurudi.
Taarifa zinasema kuwa watu wote hao watatu wamepotea katika mazingira ya kutatanisha kwani tangu tarehe 6 Desemba 2023 hadi leo hawajulikani walipo. Hakuna anayejua taarifa za gari walilosafiri nalo kutoka Kyela na wala gari mpya kutoka bandarini. Ndugu wanasema kuwa siku mbili kabla ya Juliana na Charles waliaga kuwa wanatakwenda Dar es Salaam.
Yeyote atakayewaona anaombwa kutoa taarifa katika Kituo cho chote cha Polisi au apige simu
hizi: 0754840608, 0719979820 na 0765591232
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kinachowahadhili, Hawapendi Wala hawachukii
Hawaumii Wala hawahangaiki, wao wameyakubali maisha jinsi yalivyo
Uwapende au usiwapende wao hawajali Wala nini, uwachukie usiwachukie wao Wala haiwahusu.
Je nawewe Ni mmoja wao????