Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

MUME NA MKE WAMEPOTEA MAZINGIRA YA KUTATANISHA WAKIWA NA GARI MPYA NA MTU ALIYEWASINDIKIZA AITWAYE DUDU!

Juliana Medard (pichani) na Charles Aden Mwampyate (aliyepiga picha na gari) ambao ni wenzi (mume na mke) wakazi wa Kyela, Mbeya waliagiza gari bandarini. Lilipofika walimuomba
Jeremiah Swila maarufu kama Dudu (aliyevaa mkufu shingoni) asafiri nao kutoka Kyela hadi Dar es Salaam ili awasaidie katika kuendesha gari . Lengo lao lilikuwa Dudu yeye aendeshe gari mojawapo wakati wa kurudi.

Taarifa zinasema kuwa watu wote hao watatu wamepotea katika mazingira ya kutatanisha kwani tangu tarehe 6 Desemba 2023 hadi leo hawajulikani walipo. Hakuna anayejua taarifa za gari walilosafiri nalo kutoka Kyela na wala gari mpya kutoka bandarini. Ndugu wanasema kuwa siku mbili kabla ya Juliana na Charles waliaga kuwa wanatakwenda Dar es Salaam.

Yeyote atakayewaona anaombwa kutoa taarifa katika Kituo cho chote cha Polisi au apige simu
hizi: 0754840608, 0719979820 na 0765591232

FB_IMG_1702338094021.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGNORE HATERS AND STAY CONFIDENT

Never worry about those who don't like you. Remember, those who hate you don't truly know you. In fact, they might be upset because they aren't like you. When people don't like you, it's often out of envy. Envy is the price that haters pay.

Think about it: when someone says they don't like you, should you really care? The people they do like – are they getting paid for it? No. Your worth isn't determined by someone else's opinion. If someone doesn't like your face, does their dislike make any face better? Of course not.

It takes a lot of energy to dislike someone. So, if your neighbor doesn't like you, why should it bother you? Your life doesn't depend on their approval. In fact, when people ignore you, it can actually speed up your journey. Their indifference can be your motivation.

Always remember, your value doesn't decrease based on someone's inability to see your worth. God loves you – isn't that enough? When people try to pull you down, stand firm. They're not going anywhere. When they talk about you or attack you, let it slide off you like water off a duck's back. Wear their criticism like a badge of honor and keep moving forward.

Don't let backbiters disturb you. Let them stay in the background. You're moving forward, not drowning in their negativity. Dress your best, not for them, but for yourself. Shine bright, because those who truly matter will see your light.

Everyone SHOULD remember, those who dislike you are often just reflecting their own issues. Your strength lies in knowing your own worth and moving forward with confidence and grace.
FB_IMG_1702337752830.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Did you know that if you put 100 black ants and 100 black ants in a jar, nothing will appen?

But if you shake the jar hard, the ants start killing each other.

The red ants consider the black ants their enemies and the black ants consider the red ants their enemies.

The true enemy is the one shaking the jar. The same thing happens in the human society.

So before we attack each other, we should think about who is shaking the jar!

-Kurt Vonnegut
FB_IMG_1702338686112.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OGOPA SANA WATU HAWA

Hakuna kinachowahadhili, Hawapendi Wala hawachukii

Hawaumii Wala hawahangaiki, wao wameyakubali maisha jinsi yalivyo

Uwapende au usiwapende wao hawajali Wala nini, uwachukie usiwachukie wao Wala haiwahusu.

Hayo yote hayafanyiki kwa bahati mbaya kwao, Ila Kuna nguvu takatifu imezaliwa na kukua ndani yao, na Hawa ndiyo waliochaguliwa kuja kuokoa ulimwengu.

Je nawewe Ni mmoja wao????



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom