[emoji3578]Hawaumii Wala hawahangaiki, wao wameyakubali maisha jinsi yalivyo
[emoji3059]Uwapende au usiwapende wao hawajali Wala nini, uwachukie usiwachukie wao Wala haiwahusu.
[emoji3578]Hayo yote hayafanyiki kwa bahati mbaya kwao, Ila Kuna nguvu takatifu imezaliwa na kukua ndani yao, na Hawa ndiyo waliochaguliwa kuja kuokoa ulimwengu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.