picha hazifungukiKuna mapopoma kwenye uzi huu huu watakwenda kujaribu hii![]()
Wasiliana na mods mkuu. Na kama unatumia app jaribu kuhamia kwenye browser-based app haina tatizo...picha hazifunguki
Asante broWasiliana na mods mkuu. Na kama unatumia app jaribu kuhamia kwenye browser-based app haina tatizo...
Hahaha aise kumbe sie wenye vibamia hatuwezi pata ukimwi 🤣🤣🤣🤣
Hiyo never cheat tunadanganyana tuu
Kabisa talk is cheap. Tenda.