Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1701480485499.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
#FAHAMU: Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023

Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.

Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.

Unahisi kwa hapa kwetu Tanzania lingekubalika hili?, mzazi kugawa mali zake kwa familia masikini ili hali watoto wake wapo hai?

Siyo vibaya ukatuandikia mtazamo wako, kwenye hili.

Chanzo: Fortune Magazine.

#EastAfricaRadio #EastAfricaTv #Fahamu #Utajiri
FB_IMG_1701486862440.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUHIMU```
[emoji654]Kuna siku marafiki tutatengana[emoji174] hatutaonana tena wala kuwasiliana.[emoji181]

[emoji654]Wengine umri utakuwa umeenda[emoji803] sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.[emoji22][emoji27]

[emoji654]Tutakumbuka[emoji144] tulivyokuwa tunachat[emoji181] tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana [emoji173]na kushirikiana[emoji133] tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu[emoji123] tukikimbizana[emoji126] huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.[emoji174]

[emoji654]Labda bado tutakuwa na picha [emoji185]za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.[emoji144][emoji187]

[emoji654]Watoto na wajukuu zetu watatuuliza
"Ni kina nani hawa[emoji117][emoji130]?"

[emoji654]Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" [emoji173][emoji173][emoji173][emoji182]

[emoji654]Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu![emoji131]

[emoji654]Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki [emoji127] [emoji126][emoji125] [emoji132] [emoji130] na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.[emoji144]

[emoji654]Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.[emoji173][emoji173]

[emoji654]Onyesha upendo [emoji173] na moyo[emoji173] wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.[emoji179][emoji182]

[emoji654]Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako[emoji134]

[emoji654]Tunza picha zake kwa bidii[emoji186][emoji185]

[emoji654]Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo [emoji173]ni kitu cha thamani sana!![emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]

[emoji654] Mkumbushe kila unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati [emoji559] vizuri. [emoji182]

[emoji654]Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema [emoji175][emoji182][emoji254][emoji173][emoji253][emoji177][emoji179][emoji176][emoji257][emoji255][emoji253][emoji259]
IMG-20231201-WA0076.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom