Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20231201-WA0009.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We si ulisema kuwa upo kwenye spiritual and mind cleansing na hutaiangalia hiyo connection? Tuviziwa umetuonaje?

Hizi mambo mkishajirekodi au kupigana picha kuna siku zitavuja tu hata mfanyeje. Na sasa Mange nasikia analipa mpaka milioni huko kwa hizi connection. Watu wataendelea kuwindana tu.

Kwenye lodges/hoteli uchwara nasikia kuna wafanyakazi ambao sio waaminifu hutegeshea camera hasa kwa hawa celebrities wetu ili wapate connection. Ndiyo maana nyingi quality yake huwa ya hovyo maana hazijapigwa kwa njia ya kawaida.

Hata wewe siku moja ukiliibua li Uwoya be careful. No phones na chunguza kuona kama hamrekodiwi kwa siri!
Bado nipo kwa spiritual journey mkuu, nilikutana nayo bahati mbaya tu!!

Kwa kweli ni aibu sana na haya majanga utakutana nayo ukienda lodges/hotels za kijinga tu. Ila hawa wanaonekana kama walidhamiria kurekodi, maana kuna muda unamuona jamaa anaweka simu vizuri kabisa. Maana yake anajua nini kinaendelea na bado kichupa kina leak!! Huu ni ujinga, kwanini kivuje maana ilitakiwa kipigwe kofuli somewhere

Enewei sisapoti mambo ya aibu namna hiyo, muda unaenda kuna wakati utafika utajutia mapuuza mengi uliyofanya huko nyuma!
 
Back
Top Bottom