Afya mgogoro...Likely keshaungwa kwenye grid huyu!
Unpaved/Dirty road
Grid ya taifa sikuhizi si issue kama unapata njugu za USAID na una uhakika wa kula vizuri.Afya mgogoro...Likely keshaungwa kwenye grid huyu!
Huyu jamaa ni mtu poa sana. Nilikutana naye Dodoma yaani mnapiga stori tu bila wasiwasi.
Watanzania wangapi wanaweza kula vizuri? Wengi tu ukimuona unajua moja kwa moja huyu anafakamia njugu. Ngozi imefubaa. Haina mwako hata kama mtu bado yuko 20s....Wanajulikana!Grid ya taifa sikuhizi si issue kama unapata njugu za USAID na una uhakika wa kula vizuri.