Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
😳😳😳😳😳
Black hole .....labda n uchorocho wa kutoka eneo moja kwenda lingine😀😀😀.
Mkuu Mshana Jr Ni jinsi gani ninaweza ku- quote uzi kwenye Uzi mwingine?
Yawezekana aisee.Black hole .....labda n uchorocho wa kutoka eneo moja kwenda lingine😀😀😀.
Mmama wa hovyo. Enewei birthday yetu tunafanyaje?!

hebu toa hiyo hovyo bwana.Niambie kijana mwenzanguKijana![]()
Hebu nifafanulie tafadhaliMkuu Mshana Jr Ni jinsi gani ninaweza ku- quote uzi kwenye Uzi mwingine?
Naomba kujua jinsi ya kuweka link ya thread
Nayapenda sanaa niliwai kukutana na photographers wa kichina walikuja kupiga picha huku nikaomba na mm nione angani pazuri sanaa.Yawezekana aisee.
Black hole mh! Kubwa ya kuweza kumeza Galaxy yetu hii mara 10,000? Sidhani!
Yawezekana lakini. Au kuna kitu hapo ambacho akina Hubble na James Webb bado hawawezi kukiona. Maajabu ya uumbaji!
Na wewe mjukuu ni mdau wa haya mambo eeh!? Safi sana! 👏
aisee watani zangu....
View attachment 2816415
wapare mnafeli pakubwa
View attachment 2816424
Hawana shida hao,Ukija kurogwa shauri yako!
Unafikiri Wapare ni wa kuchezea?
Utajikuta ni Msukule huko Msata permanently ohoo!
Kama unatumia app angalia upande wako wa kulia juu kuna vidot vitatu bofya hivyo vitakuletea options tofauti.. Sasa hapo chagua copy URL kisha bofya.. Halafu nenda kwenye mada husika ka paste hukoNaomba kujua jinsi ya kuweka link ya thread