Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,882
- 136,521
Hauogopi wachawi na hizo mbegu zako??Niandalie shamba ekari 3, nakuja na mbegu bora za mahindi![]()
Hauogopi wachawi na hizo mbegu zako??Niandalie shamba ekari 3, nakuja na mbegu bora za mahindi![]()
Wanazaa kwa mipangoUna hoja, ngoja niwaulize![]()


,
Tangu lini Wazee wakawa waoga wa mambo ya Mila. Uchawi ni mila halisi za Kiafrika 🤪Hauogopi wachawi na hizo mbegu zako??
Niwaache wainjoi kama alivyoimba Jux na Diamond Platinum sio?Wanazaa kwa mipango,
Waachage wajukuu waruke kwanza![]()
Mweeeeeh,basi mila mbaya hiyo.Tangu lini Wazee wakawa waoga wa mambo ya Mila. Uchawi ni mila halisi za Kiafrika![]()
YaehNiwaache wainjoi kama alivyoimba Jux na Diamond Platinum sio?
Kweli Vijana wana faidi![]()


Miaka ile nikiwa Kiongozi mwandamizi na mwenzangu Kinjikitile, tulitumia sana mila kupigana na "Mjarumani" miaka ile ya 1905 hadi 1907.Mweeeeeh,basi mila mbaya hiyo.
Ni kweli, Mungu aendelee kutupa umri mrefu wa kuishiYaeh
Maisha mafupi,vijana wanakufa zaidi kuliko wazee![]()
Miaka ile nikiwa Kiongozi mwandamizi na mwenzangu Kinjikitile, tulitumia sana mila kupigana na "Mjarumani" miaka ile ya 1905 hadi 1907.
Kwahiyo siogopi sana hayo mambo![]()



,kama nakuona vile umekula chumvi nyingi



Kweli kabisa,zama zimebadilika,Ni kweli, Mungu aendelee kutupa umri mrefu wa kuishi
Tuendelee kumuomba Mungu atujalie afya njema na uzima teleKweli kabisa,zama zimebadilika,
Sio tena watoto wanazika wazee wao,bali wazee wanazika watoto wao.
Hakika Mjukuu, nimekula chumvi nyingi Babu yenu 🤪,kama nakuona vile umekula chumvi nyingi
![]()
Tuendelee kumuomba Mungu atujalie afya njema na uzima tele
Tuishi na Wazee wetu hadi waone Wajukuu na Vitukuu vyao


Good news ni kuwa cheti changu cha kuzaliwa nimeambiwa kitaletwa na Serikali ya Uingereza hivi karibuniSitaki mie,
Haueleweki kama mvua za darGood news ni kuwa cheti changu cha kuzaliwa nimeambiwa kitaletwa na Serikali ya Uingereza hivi karibuni
Jiandae kuona Umri halisi wa Babu yenu![]()

😅😅😅🏃🏃🏃Haueleweki kama mvua za dar![]()