Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Halafu hakuna visa....
Na pisi ni kali hatari....
Na pisi ni kali hatari....
Haya mambo yanashangaza sanaa inamaana na dunia inatoa mwanga kwa mwezi usiku, na inakua n reflection ya mwanga wa nyota jua ama?Dunia na Mwezi zinavyoonekana baada ya kupigwa picha na chombo cha anga za mbali Cassini... Wakati hii inapigwa chombo hicho kilikuwa kinaizunguka sayari ya Saturn umbali wa zaidi ya kilomita millioni 900.. Mimi na wewe tupo hapo kwenye nyota hiyo kubwa...View attachment 2800932
Sent using Jamii Forums mobile app
Machino wana man🤣🤣
Ziwa la huyu demu khaaa!
Hivyo vitambaa kwenye viti ni vya nini
Twenzetu Eritrea