Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyu jamaa naamini ana hela kuliko hata bakhresa mark my words mkuu yaani ni mwizi lowkey yuko kama Rostam madili ya chini chini tu yaani. Mpaka akimaliza muda wake sijui itakuwa kachota trillion ngapi asee. Paah esther luxury, namungo fc, appartments, mashamba ndo usiseme, zile za mikopo yaani paah.

Acha tu yaani sema muda utaongea ndo maana forbes hawawekagi wanasiasa kwenye list zao.
 
20231029_005715.jpg
 
Huyu jamaa naamini ana hela kuliko hata bakhresa mark my words mkuu yaani ni mwizi lowkey yuko kama Rostam madili ya chini chini tu yaani. Mpaka akimaliza muda wake sijui itakuwa kachota trillion ngapi asee. Paah esther luxury, namungo fc, appartments, mashamba ndo usiseme, zile za mikopo yaani paah.

Acha tu yaani sema muda utaongea ndo maana forbes hawawekagi wanasiasa kwenye list zao.
Wale jamaa wa Tanzania wikileaks walisema eti ana kaakaunti mahali kameshiba dola za kutisha. Ndo wanaofaidi nchi hawa jamaa aisee.
 
Back
Top Bottom