Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
AiseeeHizi noti sita zisshau siku nilichapwa na raia wema kisa kumdanganya bibi kua shilingi 50 ni 200!
Bibi alikua haoni, sasa huko alikoenda kununua kitu hela haitoshi, niliangushiwa msala sijasahau mpaka leoView attachment 2795249View attachment 2795250
Hii ndio michongo ya kufukuzia sasa


Utoto bana itabidi nibadili 😂😂😂😂,sijui nilikua nawaza nini....Mwambie kabisa wewe ni kaskazini empire![]()
Serikali imesikia kilio chetu mloganzila hoyeee😂😂😂😂...ila kizazi hiki mambo sio mabaya kivile sema mmetukomalia tuuu.
Najua.Serikali imesikia kilio chetu mloganzila hoyeee😂😂😂😂...ila kizazi hiki mambo sio mabaya kivile sema mmetukomalia tuuu.