Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Matagi ya soda..... jina la mtu hilo.
Mayai ya soda....!!???? Huyu ni matagi ya suti 😄.
Ani, mayai ya suti.
Kwasasa huyo ni mke wa mtu na familia yake halafu huyo bingwa bado anajitafuta

Nilianza kusoma kabla sijaangalia jina nikajua huyu atakuwa fulani.. Sijui nikoje?Matagi ya soda..... jina la mtu hilo.
Mayai ya soda....!!???? Huyu ni matagi ya suti.
Ani, mayai ya suti.

Nilianza kusoma kabla sijaangalia jina nikajua huyu atakuwa fulani.. Sijui nikoje?
Haafu nakuonda mia weshu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama E 🔥🔥🔥❤️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Titete, niume sikio.....Weshuuu, aahahahahaa
Bado natafakari kwanini uliibuka na lile jina na si jingine....
Kumbe kweli kilinge kinafanya kazi, ona hadi sasa umetambua ni nani bila kuangalia jina....
Titete, niume sikio.....

mwenyewe OG





Umasikini Mbaya sana kwa kweliDada kachoka kinyama sio poa!
Sio kweli
SYB 💪💪💪Labda SIMBA wa kibisa .. Lakini kama ni wa Buyenze...View attachment 2785290
Sent using Jamii Forums mobile app