Baharias have guts 😁😁😁






Steroids and human growth hormones can do wonders
Manasiasa yote ni hivyo hivyo tu. Hata ma CHADEMA ni hivyo hivyo tu 🚮MaCCM na unafiki ni damu moja. Protase Cardinal Rugambwa amepokelewa na watawala wakimsujudia wakati alipoketi Kigamboni na maaskofu wenzake wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na kutoka na TAMKO la kupinga mkataba wa kuuza bandari MaCCM walisema asichanganye dini na siasaView attachment 2774352
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ma CHADEMA ni hivyo hivyo tuManasiasa yote ni hivyo hivyo tu. Hata ma CHADEMA ni hivyo hivyo tu![]()

Msukuma wa Ulaya🚮 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️