Nadhani picha zote zinazoonekana hapa zimechujwa na kuthibitishwa na uongozi kwamba zinafaa kwa matumizi ya jukwaa husika!
Kuhusu uchawi

hizo ni picha babaifu kuonesha vituko vya wachawi walozi na washirikina.. Zina utamu wake pia..
Kuna dhana pia kwamba tusihusishe siasa huku lakini kuna wakati kuna vituko vya wanasiasa huwa tunatupia huku
All in all asante kwa pongezi na tutazingatia maoni yako kwa vile umeonesha jinsi ulivyo baba bora kwa kukaa na madogo ukiperuzi nao wakiona hizi picha unawajenga



hawa ndio future JF members
Dalali Anaejiamini Hakwepi Kamera Kwa Kugeuka Nyuma, Bali Usowake Anauacha Wazi, Ili Apate Mteja Mwingine, Kwakua Afanyalo Si Dhambi.
View attachment 2771570
Sent using
Jamii Forums mobile app