Aibu hii inawahusu wanamuziki wote wa Congo, mashabiki wa muziki wa nchi hiyo na serikali yao ya Congo.Mwanamuziki Nguli wa zamani Denis Kasia a.k.a Lokasa ya Mbongo, mpiga gitaa la maarufu nchini DRC Congoleo imetimia ni miezi mitano tangu amefariki Dunia na Mpaka Leo bado hajazikwa.
View attachment 2769086
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mtoto ukubwani atakuwa na tabia mbaya sana.