Aisee[emoji849][emoji849]
Niletee mmoja awe ananifulia[emoji23]Unataka kumfanyaje nikupe mmoja
Waende Endasaki, Mbulu, karatu na simanjiro wakaone pisi za kimburu na wairaq.Kumbe haka ka konda ni kachaga[emoji8]View attachment 2764461View attachment 2764463
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mbuzi wa Vatican ama? 😳
Halloween...
Nilikaa Mbulu miezi miwili. Shughuli ilikuwa pevu. Utafikiri upo Uarabuni aisee halafu sasa maharage ya Mbeya. Nilipunguza kilo kadhaa. Ujana nyie acheni tu 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Waende Endasaki, Mbulu, karatu na simanjiro wakaone pisi za kimburu na wairaq.
Kwani unapelekea moto sura? 😳🏃🏿♂️
Pyua waifu matirio...kama Mama E 100%Huyo ndiye wa kumuweka ndani akupikie, akuzalie na kukulelea wanaoView attachment 2764570
Huyo mzee wa "ugali siyo chakula bado yupo?". Alikuja na mbwembwe lakini sasa hivi kimya. Hata kwenye hekaheka za kupinga bandari ya Dipiiweldi hakusikika.Hawa jamaa ndiyo watakaoisigina Arusha 2025.
Tusubiri tuone.View attachment 2764401
Kamba