Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Haya wale wa SDY
59fa6938ce9c6362ea2a3bcdee3053e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu wanahangaika. Wanataka kujua chemical composition ya huu mwamba maana utakuja kugongana na dunia siku zijazo. Zipo nadharia nyingi za jinsi ya kuepukana na janga kama hili maana kama mgongano huo utatokea basi itakuwa karibia sawa na ule uliowaondoa wababe wa dunia akina dinosaurs na kuua zaidi ya asilimia 90 ya viumbe wote duniani.

Njia mojawapo ni kumfuata Bennu huko huko aliko na mabomu ya nyuklia kwenda kumsambaratisha. Njia nyingine pia ni kumfuata huko huko na mashine kali za laser na kuanza kumvuta pole pole ili hatimaye kumwondoa kwenye orbit aliyomo - orbit ambayo hatimaye itamfanya agongane na dunia. Nyingine ni kwenda kumpasha moto ili kuyeyusha barafu yake na hivyo kumfanya awe mwepesi na kumfanya ajiondoe mwenyewe kwenye orbit yake ya sasa...

Jamaa angalau wanajaribu tuwape tu maua yao! 🙏🏿👏🏼

Screenshot_20230925_090628_Tumblr.jpg
 
Back
Top Bottom