Wewe siwezi kukunyimaᵁᶜʰᵒʸᵒ tu
Tarehe 21/9/2023 Mkurugenzi Wa TANESCO - Maharage Chande
Tarehe 23/9/2023 Mkurugenzi Wa TTCL - Maharage Chande
Tarehe 25/9/2023 Mkurugenzi Wa POSTA - Maharage Chande
Kuna Shida Kubwa Kwenye Mamlaka Ya Uteuzi... Kuna SHIDA KUBWA SANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 21/9/2023 Mkurugenzi Wa TANESCO - Maharage Chande
Tarehe 23/9/2023 Mkurugenzi Wa TTCL - Maharage Chande
Tarehe 25/9/2023 Mkurugenzi Wa POSTA - Maharage Chande
Kuna Shida Kubwa Kwenye Mamlaka Ya Uteuzi... Kuna SHIDA KUBWA SANA
Sent using Jamii Forums mobile app
BREAKING NEWS: Serikali ya Tanzania iko kwenye mazungumzo ya mwisho na shirika la umeme la Msumbumbiji EDM kununua umeme wa dharura wa 150MW. Umeme huo utasaidia kupunguza kadhia ya sasa ya mgao mkali wa umeme. #TanzaniaLeaks
Sent using Jamii Forums mobile app
Isn't this the whole concept of sacrifice - for your family, friends and those you love and care? 😳
Wenzetu wanahangaika. Wanataka kujua chemical composition ya huu mwamba maana utakuja kugongana na dunia siku zijazo. Zipo nadharia nyingi za jinsi ya kuepukana na janga kama hili maana kama mgongano huo utatokea basi itakuwa karibia sawa na ule uliowaondoa wababe wa dunia akina dinosaurs na kuua zaidi ya asilimia 90 ya viumbe wote duniani.
📌📌📌📌📌Kwakweli jamaa kila kukicha wanakuja na kitisho kipya.
Mi natandika tu, mengine tutajuana mbele kwa mbele.
Baba yangu alikula vyote hivyo na alifariki akiwa na 103 years.