Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nikiondoka kidogo tu mjukuu unaanza vituko. Hiki nini sasa? Unataka niliite li Foxhound lije lilete rabsha hapa ama nini?

Sasa fikiria mzabzab akiiona hii. Ndo hapo utasikia tako skonzi sijui nini dah!

Itabidi nisiwe naondoka nini? inavyoonekana unahitaji ulinzi 24/7 wallahi
Ulinzi wako ni imara hata ukiwa haupo, hao hawawezi nigusa babu,

Shikamoo babu.
 
Nikiondoka kidogo tu mjukuu unaanza vituko. Hiki nini sasa? Unataka niliite li Foxhound lije lilete rabsha hapa ama nini?

Sasa fikiria mzabzab akiiona hii. Ndo hapo utasikia tako skonzi sijui nini dah!

Itabidi nisiwe naondoka nini? inavyoonekana unahitaji ulinzi 24/7 wallahi 😬😬😬🖐🖐❤️
mjukuu wako anapenda mambo ya kugegeduana hatari na anavyoringa na tako skonsi lake balaaa
 
IMG-20230922-WA0025.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom