myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Nimepata dharura, mje kesho.
Nimepata dharura, mje kesho.
🤣🤣Mama is extremely smart. Elimu ya katiba itolewe kwa wananchi kwa miaka mitatu ijayo. Hii ni mpaka 2026 hukooooo!
View attachment 2754030
Thubutu...

Nyerere aliwahi pita kijijini kwetu mwaka 1975 wakati nikiwa mwenyekiti wa kijiji tena kipyaaa ndo tu kimeanzishwa!
View attachment 2754033
I wonder utakua Umezaliwa mwaka gani 
