Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ukioa kwenye hii familia inabidi uwe mwangalifu sana! 😁

3b8c2dcf-85fc-4eea-8a1d-29ad719f9bc9.jpg
 
Akifa mmoja si ataoza. Sasa huyo mwingine atafanya nini? Hapo ukute baadhi ya mifumo yao inaingiliana. Na kwa kawaida mmoja akiumwa na mwingine anaumwa. Nitagoogle nione kama kwenye medical history kuna case ambapo mmoja alikufa na mwingine akabakia hai (kwa muda mrefu)
 
Back
Top Bottom