"Nikiamua kuvaa nitachukua mabwana wengi sana ndiyo maana sitaki kukaa huko, mimi ni mzuri sana na nimeumbika kila kitu siku nikiamua kujipodoa kama wanavyofanya wengine au wanavyovaa mtanipiga kwa sababu nitachukua vitu vyenu vingi na sipo tayari kugombana na watu" amekaririwa mwanadada Chemical ambaye amejizolea umaarufu katika muziki wa hip hop Bongo
Chemical kwasasa anasomea PhD yake ya mambo ya takwimu katika chuo kikuu cha ST.Andrews nchini Scotland, ni baada ya kupata ufadhili wa masomo kufuatia kuibuka mwanafunzi bora wa jumla wa tafiti katika chuo kikuu cha Dar es salaam kwa wanafunzi waliohitimu masters
View attachment 2740439
Sent using
Jamii Forums mobile app