Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_4393.jpg
 
"Nikiamua kuvaa nitachukua mabwana wengi sana ndiyo maana sitaki kukaa huko, mimi ni mzuri sana na nimeumbika kila kitu siku nikiamua kujipodoa kama wanavyofanya wengine au wanavyovaa mtanipiga kwa sababu nitachukua vitu vyenu vingi na sipo tayari kugombana na watu" amekaririwa mwanadada Chemical ambaye amejizolea umaarufu katika muziki wa hip hop Bongo

Chemical kwasasa anasomea PhD yake ya mambo ya takwimu katika chuo kikuu cha ST.Andrews nchini Scotland, ni baada ya kupata ufadhili wa masomo kufuatia kuibuka mwanafunzi bora wa jumla wa tafiti katika chuo kikuu cha Dar es salaam kwa wanafunzi waliohitimu mastersView attachment 2740439

Sent using Jamii Forums mobile app
Chemical amekaa kitom-boy sana. Hivi ana hata mshikaji wa kumpelekea kweli!
 
Back
Top Bottom