Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

761adff8cc7d963298bcec37ab9fbfee.jpg
 
Mabegi yenye noti za Franga pamoja dola za Marekani yamekutwa katika Ikulu ya Rais wa zamani wa Gabon aliyefurushwa madarakani hapo jana, Ali Bongo. Makachero wanaendelea kuzihesabu lakini bado hazijajulikana thamani yake kwa sababu kila wakikaribia kumaliza wanakutana na furushi jingine la noti. Hawa ndio viongozi wa Afrika wajiitao wazalendo. Halafu yakiwafika wanasema "please make noise" Kiboboru.!!View attachment 2734601
Aliyeturoga waafrika ameshakufa
 
Back
Top Bottom