Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,190
- 4,263
Kuna mtu nilimuambia ya Gabon na Niger yatatokea kwetuKuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.![]()

