Kazi ni kazi ili mradi mkono uende kinywani.
Pambana na Mungu atakuwa upande wako.
Ungekuwa umezaliwa na kuishi Dar wangekushuri uachane na kazi hiyo ili ujiunge na camp za kudangaView attachment 2733811


Mhm visingizio tuu....wanaume wanavyopenda tako skonsi hawa...wee utakuwa unachagua sana.Mnivumilie jamani, waowaji wenyewe wanakataa ndoa![]()
Nitafutie sangoma tukarogeMhm visingizio tuu....wanaume wanavyopenda tako skonsi hawa...wee utakuwa unachagua sana.
Tafuta boya yoyote mloge akuoe. Dawa ikiisha tayari upo ndani ya ndoa hana ujanja



AnkaliUncle![]()

Aya njoo tuje nanjirinji kuna jamaa kiboko....yaani akikugusa tuu wiki ndefu mahari inaletwa home kwa kaka zakoNitafutie sangoma tukaroge
Ndiyo wanapenda tako skonzi lkn hawaoi wenye tako skonzi![]()
😅😅😅😅😅