Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nimerudia kusoma kama mara tano na bado nimetoka kapa
Nilivyoelewa wanaomba radhi kwa kuweka video ya raisi alipokuwa yupo feri mwaka Jana wao Jana mwananchi wakaiweka kwenye Twitter wakisema Ni Jana tarehe 13 raisi yuko chato sasa wametoa taarifa ya kuomba radhi kwa uzembe wao

Sent from Tapatalk
 
Screenshot_20200414-155511_Facebook.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom