Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

00b73c39c05dc8426074e4adedf9dd5d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WA CRISDA RODRIGUEZ KITANDANI.

Kabla ya kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 40 kutokana na kuugua maradhi ya saratani ya tumbo, mbunifu na mwandishi maarufu duniani Mrembo Crisda Rodríguez aliandika maneno haya akiwa kitandani na kuyahifadhi kwenye diary yake ndogo:

1. Nilikuwa na gari la gharama kubwa zaidi duniani katika karakana yangu lakini sasa inabidi nitumie kiti cha magurudumu.

2. Nyumba yangu inauza kila aina ya nguo zenye chapa, viatu, na vitu vya thamani, lakini sasa mwili wangu umefungwa kwa kitambaa kidogo nilichopewa na hospitali.

3. Nina pesa nyingi benki. Lakini sasa sinufaiki na kiasi hiki.

4. Nyumba yangu ilikuwa kama ngome lakini sasa ninalala katika vitanda viwili hospitalini.

5. Kutoka hoteli ya nyota tano hadi hoteli ya almasi. Lakini sasa hivi mimi hutumia muda katika hospitali kuhama kutoka maabara moja hadi nyingine

6. Nimetoa saini za mamia ya watu lakini safari hii kumbukumbu za matibabu ni sahihi yangu.

7. Nimekuwa na vinyozi saba wa kurekebisha nywele zangu, lakini sasa - sina hata unywele mmoja kichwani mwangu.

8. Kwenye ndege ya kibinafsi, naweza kuruka popote, lakini sasa ninahitaji usaidizi wawili ili kutembea hadi lango la hospitali.

9. Ingawa kuna vyakula vingi, sasa mlo wangu ni vidonge viwili kwa siku na matone machache ya maji ya chumvi usiku.

10. Hii nyumba, gari hili, ndege hii, samani hii, benki hii, sifa na umaarufu kupita kiasi, hakuna hata kimoja chenye manufaa kwangu. Hakuna kati ya haya kitakachonipumzisha. "Hakuna kitu halisi isipokuwa kifo."

Mwisho wa siku, utajiri mkubwa zaidi kwenye maisha ya binadamu ni afya njema yake.

Kama umejaaliwa kuwa na afya njema japo kwa kiasi kidogo, furahia maisha yako kwa hata kwa chochote kidogo ulichonacho. Kuna watu wanatamani kuinunua afya yako kwa gharama yeyote ile kama ingewezekana, kwa sababu kwa tafsiri sahihi kwako dhidi ya wewe unayemiliki furaha itokanayo na afya yako, wewe ni tajiri mno.
FB_IMG_1692009989451.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom