Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1691992297777.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya uongozi si rahisi kama umedhamiria kuwatetea wananchi haswa, kuna haja ya kugusa pande zisizogusika na ni lazima ziguswe, kabla ya Mwaka kuisha tutakuwa na orodha nzima ya watumishi wa Umma waliobaki na wazamani walipata vipi mali zao kwa wale tulio na mashaka nao, hatasalimika hata mmoja nami nikibainika nichukuliwe hatua, nchi zetu uongozi imekuwa ni maigizo na kula mali za nchi tu” Ibrahimu Traole Rais wa Burkina Faso
20230814_091407.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya uongozi si rahisi kama umedhamiria kuwatetea wananchi haswa, kuna haja ya kugusa pande zisizogusika na ni lazima ziguswe, kabla ya Mwaka kuisha tutakuwa na orodha nzima ya watumishi wa Umma waliobaki na wazamani walipata vipi mali zao kwa wale tulio na mashaka nao, hatasalimika hata mmoja nami nikibainika nichukuliwe hatua, nchi zetu uongozi imekuwa ni maigizo na kula mali za nchi tu” Ibrahimu Traole Rais wa Burkina FasoView attachment 2716921

Sent using Jamii Forums mobile app
They will eliminate him!
 
Back
Top Bottom