Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1691683856723.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mauaji ya kinyama! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwalimu wa Shule ya Msingi Nyakatundu iliyopo Rufiji mkoani Pwani, Rafaela Msemwa kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Agosti 6, mwaka huu.

Pamoja na kutekeleza unyama huo, watu hao pia walimjeruhi mtoto wake mwenye umri wa miaka minne, aliyejulikana kwa jina la Bravian Mwamwenda na kumsababishia jeraha kubwa usoni na kwa sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mpaka sasa Bravian ameendelea kupokea matibabu kutoka kwa wataalamu bingwa na tayari wamemfanyia upasuaji wa jicho na wanasubiri kumfanyia vipimo vingine kuangalia iwapo jicho hilo litaweza kuona tena.
FB_IMG_1691706058471.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mauaji ya kinyama! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwalimu wa Shule ya Msingi Nyakatundu iliyopo Rufiji mkoani Pwani, Rafaela Msemwa kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Agosti 6, mwaka huu.

Pamoja na kutekeleza unyama huo, watu hao pia walimjeruhi mtoto wake mwenye umri wa miaka minne, aliyejulikana kwa jina la Bravian Mwamwenda na kumsababishia jeraha kubwa usoni na kwa sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mpaka sasa Bravian ameendelea kupokea matibabu kutoka kwa wataalamu bingwa na tayari wamemfanyia upasuaji wa jicho na wanasubiri kumfanyia vipimo vingine kuangalia iwapo jicho hilo litaweza kuona tena.View attachment 2714034

Sent using Jamii Forums mobile app

Akili za Kachero Kasinde....

Bila kupepesa macho, chanzo cha mauaji ni mapenzi....

NB: mbongo mpe kichwa cha habari, taarifa ataijazia yeye...😬

1. Marehemu alitembea na mume wa mtu na wamezaa huyo mtoto (unyama umesukwa na mke wa aliyekuwa bwana wa marehemu).

2. Baba wa mtoto wa marehemu amepata stress na kumuua mzazi mwenzie kwa kuhisi mwalimu anachepuka huko pwani, na amehofu mtoto si wake ndo maana kamjeruhi pia.

3. Unyama tuu unaosababishwa na wivu wa maendeleo, sasa mtoto sijui kawakosea nini....😔😔😔

Mungu amtunze na kumlea huyo mtoto maana hii dunia ukikosa mama hakuna rangi utaacha kuona hasa ukiachwa na umri mdogo. Sijawahi kushuhudia kuishi bila mama mzazi nimesikia tuu ambao hawakubahatika kulelewa na mama zao.

Apumzike kwa amani marehemu.
 
Back
Top Bottom