Wabongo wengi hawatathubutu kuingia kwenye Basi hili. Basi la Owl huko Seoul Korea Kusini. Linaitwa huvyo kwa sababu huendesha huduma za usiku pekee, kutoka usiku hadi saa 11 alfajiri?View attachment 2709695
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila asiende Mwanza aishie Tabora tuu.... sababu nnayo kapuniMuwekezaji mmoja alilete ruti ya kwetu Tabora, ntakuwa napanda hilo basi kila nisafiripo. Ila asiende Mwanza aishie Tabora tuu.... sababu nnayo kapuni.
.