Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mama E.

This is my heart.

It is ALL YOURS

You know that it is very fragile.

Please keep it in a safe place.

I trust you 🙏🏿😘😘😘

Escorbio1417653329160 (2).gif
 
Basi tuu huwa tunachukulia mapenzi na mahusiano kirahisi rahisi, tunamekutana, tunachat paap tayari tunahusiana kabla hata ya kufahamiana kiundani na kinagabubaga.

Sasa itokee umehusiana na mtu ambaye akili yake haielewi kwanini umemuacha na hataki kuelewa unauhuru wa kuendelea na mahusiano na mtu mwingine....

Kuna watu mkihusiana na mkaachana ubaki hivohivo singo, ukianza mahusiano mapya ana wewe...

Hio ni aina ya kichaa.

Nafikiria kufungua shirika lisilo la kiserikali NGO ambayo itakuwa linachambua haiba ya mtu unayetaka kuhusiana nae ikiwemo kupewa historia ya mahusiano yake na maamuzi yake pindi anapokuwa na hasira au na furaha sana.

Huyo binti hatokaa sawa hadi muda upite sana, kushuhudia uliohusiana nao wanakata roho ndani ya muda mfupi tena kikatili....

Inabidi aje vakesheni afrika kuondoa msongo ataokuwa nao.

Hapo ndugu wa wanaume wote rahisi kumtupia lawama kwamba chanzo cha hao watu kufa ni yeye...

Mungu amtie nguvu, mweeh!!
Naunga mkono hio NGO ifunguliwe mapema, hili tatizo ni kubwa sana katika jamii.
 
Naunga mkono hio NGO ifunguliwe mapema, hili tatizo ni kubwa sana katika jamii.

Nishaanza kuifanyia mchakato.

Inshallah kabla mwaka haujaisha ofisi itakuwa ishaanza kazi.

Afya ya akili, nao sio tuu wataachwa kwa kukosa wenzi kwa kukimbia maamuzi yao ambayo sio, bali watapatiwa msaada wa namna ya kudhibiti hisia zao.
 
Back
Top Bottom