Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,270
- 829,295
- Thread starter
- #172,201
Wanaume watakaopatikana wamesuka nywele Zanzibar watalipa faini au kufungwa gerezani kwa miezi sita. Serikali inasema kuwa hatua hii inalenga kulinda utamaduni na mila ya Zanzibar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app






