Dah! Misungwi ndio wapi nihamie huko


Karibu sana ML.Dah! Misungwi ndio wapi nihamie huko![]()
Kweli kayasema haya?
Mbunge wa CCM?
Mjumbe wa NEC wa CCM?
Mfufua wafu?
Sidhani!
Nikibahatika kufika Mwanza nitafanya hivyoKaribu sana ML.
Ni wilaya mojawapo ya mkoa wa Mwanza. Ukikaribia mjini ulizia kwa Mzee Shimba mkulima wa nyanya na dengu utaletwa hata na mtoto mdogo mpaka nyumbani. Mengine yote yatakuwa juu yangu![]()

Binadam amekuwa mnyama
instagram.com
Mambo yako poa mkuu. Nimeimiss Jf!
Karibu sana!Mambo yako poa mkuu. Nimeimiss Jf!
Pamoja mkuuKaribu sana!