Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20230706-WA0003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eleweni kuwa hatuwezi kuishi kwa matumaini huku watawala wakiendelea kupora maliasili
Kitendo cha serikali kupeleka muswada June 28 ya kubadili sheria ili ziendane na mkataba wake na DP World ni ishara kuwa HAWATUOGOPI na WAMETUDHARAU
Mabadiliko ya sheria hayagusi bandari tu bali sekta ya usafirishaji na “uendelezaji wa maliasili” natural wealth - hii ni pamoja na mafuta, gesi, mbuga za wanyama, madini nk
Miaka michache mbele mamilioni ya watanzania wataporwa ardhi, rasilimali na kubaki bila matumaini
Binafsi nimeshtushwa na uroho na ukatili wao - sikujua ni wa kiwango hiki!

Hili genge halitaamka siku moja na kuacha mipango yao miovu - hawa wanahitaji kusimamishwa
Mtakumbuka hii tweet kama si leo hata miaka 10 baadaye
#TutaelewanaTu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom